UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
5K
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Cerca
Categorie
Leggi tutto
RUTH
Verse by verse explanation of Ruth 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 11:27:08 0 6K
NDOA KIBIBLIA
KIJANA AU BINTI USIJIDANGANYE, KWENYE NDOA HAUTAISHI NA UMBILE WALA FEDHA
Mwaka fulani kabla sijaoa Mwinjilisti mmoja aliniambia, Sanga, ukitaka kuoa tafuta binti mwenye...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:20:07 0 6K
2 KINGS
Verse by verse explanation of 2 Kings 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-03-19 20:40:33 0 6K
OTHERS
Eti Biblia inataja mashehe, kwa hiyo inaunga mkono Uislamu!
Wahubiri wa ‘injili’ wa Kiislamu wanaendelea kuhaha kuhalalisha quran kupitia Biblia....
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 20:19:52 0 5K
MAHUSIANO KIBIBLIA
MWANAMKE NA MWANAUME NA MAHUSIANO: TOFAUTI YA KIMAUMBILE
Sote tunajua kabisa ya kwamba kuna tofauti ya kimaumbile kati ya mwanaume na mwanamke, na tofauti...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:11:12 0 5K