UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
5KB
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Suche
Kategorien
Mehr lesen
Injili Ya Yesu Kristo
THE TRUTH ABOUT RIGHTEOUSNESS FOUND IN FAITH
Today, brethren, I would like to talk specifically about justification. How are we counted? By...
Von PROSPER HABONA 2022-01-17 01:18:01 0 6KB
OTHERS
SHETANI NA MAJINI MACHAFU YASILIMU NA KUWA WAISLAM
1. Mtume Muhammad akutana na Majini usiku na kuyafundisha Quran.2. Shetani na yeye aingia...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:58:59 0 5KB
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
My painful financial journey...and how God changed it.
Despite being in the financial world since I was in college, despite being "good with numbers",...
Von BIBLICAL FINANCES 2021-12-29 15:26:00 0 8KB
OTHERS
Juhudi za Kupinga Ukristo za Mwanaharakati wa Kundi la Ahmadiah Kutoka Pakistani Zamfanya Aachane na Uislamu
Nusrat Aman alikuwa ni mwanaharakati wa kiislamu wa kundi la Ahmadiah kule Pakistani. Siku moja...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:31:32 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
JEHOVAH'S WITNESSES: FALSE TEACHINGS
JEHOVAH'S WITNESSES: The Watchtower Society FALSE TEACHINGS "If they speak not according to...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:44:06 0 5KB