UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI

0
5KB
ALLAH: UTATA KATIKA UUMBAJI WA MAJINI
Je, Majini yaliumbwaje?

Leo hii tutajifunza UTATA wa Allah katika uumbaji wa Majini. Hebu tusome kwanza hii aya kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril ambaye ni msaidizi wa Allah. 

Quran 15: 27. Na Majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. ***

Katika aya hapo juu tumesoma kuwa Allah aliumba Majini kwa "MOTO" wa upepo Umoto. Hivyo ndivyo Majini yaliumbwa kutokana na Koran. Lakini nilipo soma kwa uzaidi na au undani Je, Allah aliumba vipi vitu vyote vyenye uhai, nilibakia nikishangaa kama Majini nayo yapo kwenye viumbe vyenye uhai. Hebu soma hii aya hapa chini.

Quran 21: 30. Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukaumba kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini? ***

Katika aya tuliyo isoma ya 30. Allaha anasema kuwa aliumba kila kitu chenye uhai kupitia 'MAJI" Je, Majini ni viumbe vyenye uhai. Kama ni kweli, kwanini Koran inatuambia kuwa Majini yaliumbwa kupitia MOTO. 

Ndugu zanguni, leo, kwa mara nyingine tena Allah amesema UONGO. 

Kwanini tumfuate Allah mwenye kigeugeu namna hii?
Suche
Kategorien
Mehr lesen
1 KINGS
Verse by verse explanation of 1 Kings 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 59 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-02-05 12:20:55 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
KWANINI YUDA ESKARIOT ALIMSALITI YESU KRISTO?
Wakati hatuwezi kuwa na hakika kabisa kwa nini Yuda alimsaliti Yesu, baadhi ya mambo fulani ni...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:11:44 0 5KB
MASWALI & MAJIBU
Je! Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni ipi?
SWALI : Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni ipi? JIBU: Tukisoma; Mathayo 12:25-32 ”...
Von GOSPEL PREACHER 2022-06-13 00:19:41 0 6KB
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 34 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:25:13 0 5KB
OTHERS
YESU NI MUNGU AMBAYE ANAPONYA MAGONJWA YOTE
Yesu alisema kwamba ishara moja itakayofuatana na waaminio ni kwamba wataweka mikono juu ya...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:56:42 0 6KB