MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20

0
5KB
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa kiislam Ali Dashti. Huenda alitegemea sana orodha ya awali iliyo kwenye historia ya al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-241. Ni vema ikafahamika kuwa wanazuoni na Hadithi hawakubaliani kikamilifu juu ya wake wa Muhammad. Kwa mfano, baadhi ya hadithi (mbali ya Bukhari or Sahih Muslim) zinaelezea wake kadhaa wa Muhammad aliowataliki, na hawa hawakuonyeshwa hapa. Hata hivyo, Orodha ya Ali Dashti, ingawa inaweza isikubaliwe kikamilifu kuwa pana kiasi cha kutisha, inaonyesha wengi wa wake wake. Ufuatao ni ushahidi wa mahusiano hayo toka kwenye hadithi usiomtegemea Ali Dashti.
 
  1. Khadija/Khadijah binti Khuwailid/Khywaylid – alikufa kwanza
  2. Sawda/Sauda binti Zam’a
  3. Aisha/Aesha/’A’ishah – umri wa miaka 8 hadi 9, mke wa pili
  4. Omm/’Umm Salama/Salamah
  5. Hafsa/Hafsah
  6. Zaynab/Zainab wa Jahsh
  7. Jowayriya/Juwairiyya binti Harith
  8. Omm Habiba
  9. Safiya/Safiyya binti Huyai/Huyayy binti Akhtab
  10. Maymuna/Maimuna wa Hareth
  11. Fatima/Fatema/Fatimah
  12. Hend/Hind
  13. Asma wa Saba
  14. Zaynab wa Khozayma
  15. Habla?
  16. Asma owaNoman / binti al-Nu’man ¾ watumwa/vimada ¾
  17.  Mariam Mkristo/Mkhufti
  18. Rayhana/Raihana/Rayhanah binti Zayd/Zaid ¾ mahusiano ambayo hayana uhakika ¾
  19. 19. Omm Sharik
  20. Maymuna/Maimuna (mjakazi?)
  21. Zaynab/Zainab wa tatu?
  22. Khawla / Khawlah ¾ Ali Dashti huenda akawa ameacha si chini ya wake tisa.
 
Muhammad alioa wanawake 15 na alikamilisha ndoa kwa tendo la ndoa na wanawake 13 (al-Tabari juzuu ya 9 uk.126-127).
 
Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 5 sura ya 25 na.282 uk.172-173 ilisema kuwa [wakati fulani] Muhammad alikuwa na wake tisa.
 
Hii ndio sifa kubwa ya Muhammad. Alio wake kede kede, zaidi ya hapo, alikuwa na vijakazi wa kingono kile kona.
 
Eti huyu alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu, THUBUTU.
 
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,
Suche
Kategorien
Mehr lesen
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 13
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 18 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-05-20 11:50:17 0 9KB
Injili Ya Yesu Kristo
UTHIBITISHO KUWA YESU NI MUNGU
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
Von GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:47:09 0 6KB
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 23
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 22 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:42:07 0 6KB
OTHERS
KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?
1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:41:46 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
NAFASI YAKO NI MUHIMU SANA KATIKA KUUJENGA MWILI WA KRISTO
Biblia katika 1 Wakorinto 12:11-14,18 imeandikwa ‘Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:30:00 0 5KB