KWANINI SULEIMAN ALIKUWA NA WAKE MIA SABA (700) NA MASURIA MIA TATU (300)?

0
5K
Kwenye 1 WaFalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri ya Mungu ya kwenye Kumb 17:17?
 
Jibu: Kumbukumbu 17:17 inasema mfalme asiwe na wake wengi, na kwa kitendo hicho, Suleiman alifanya dhambi. Kuoa wake ilikuwa ni njia ya kuimarisha ushirikiano na falme nyingine, lakini pia ilikuwa ni makosa kutokumtii Mungu. 1 Fal 11:1-4 inasema kuwa Suleiman alifanya dhambi kwa kuoa hawa wake wageni, na kuugeuzia moyo wake kuwa mbali na Mungu.
 
Hard Sayings of the Bible uk.229 inalitumia jambo hili kwa njia ya kupendeza sana. Ingawa Suleiman angeweza kuweka viwango vya juu kama mfano, alianza kujiona kama hana haja ya kuzuiliwa na Mungu kwa njia hii. Leo hii kama kiongozi wa kikristo anajiona kuwa hayumo kwenye mipaka ambayo Mungu ameiweka kwa Wakristo wa kawaida, kiongozi huyu atakuwa kwenye shida kubwa sana ya kiroho. Kwenye Kurani, hakuna mwanaume anayeruhusiwa kuwa na zaidi ya wake wanne, isipokuwa Muhammad tu, ambaye alitokea kuwa na wake karibu 24 baada ya Khadija, na Masuria kumi na wawili.
 
Zaidi ya hayo, Muhammad na Waislam wengine walikuwa na wasichana mateka na watumwa, na Kurani inawaruhusu Waislam kufanya tendo la ndoa na wanawake ambao wanawamiliki kwa nguvu ya mikono yao. (Sura 4:24; 23:5-6; 70:29-30; 33:50,52 Abu Dawud juzuu ya 2 na.2150 uk.577)
 
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Shalom
Like
1
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
OTHERS
UNAJUA KWANINI WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD KILA SIKU?
KWASABABU MUHAMMAD ALIKUFA NA DHAMBI NYINGI SANA KULIKO KIUMBE CHOCHOTE KILE.   Katika...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:37:38 0 5K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 53 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:41:10 0 5K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 36
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 15 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-24 15:40:17 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
EPUKA MOTO WA KIGENI
YALIYOMO 1. Utangulizi 2. Moto wa Kigeni 3. Hitimisho MALENGO YA FUNDISO...
Por GOSPEL PREACHER 2023-06-25 01:11:44 0 9K
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 21
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-21 05:11:59 0 5K