KWANINI SULEIMAN ALIKUWA NA WAKE MIA SABA (700) NA MASURIA MIA TATU (300)?

0
6KB
Kwenye 1 WaFalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri ya Mungu ya kwenye Kumb 17:17?
 
Jibu: Kumbukumbu 17:17 inasema mfalme asiwe na wake wengi, na kwa kitendo hicho, Suleiman alifanya dhambi. Kuoa wake ilikuwa ni njia ya kuimarisha ushirikiano na falme nyingine, lakini pia ilikuwa ni makosa kutokumtii Mungu. 1 Fal 11:1-4 inasema kuwa Suleiman alifanya dhambi kwa kuoa hawa wake wageni, na kuugeuzia moyo wake kuwa mbali na Mungu.
 
Hard Sayings of the Bible uk.229 inalitumia jambo hili kwa njia ya kupendeza sana. Ingawa Suleiman angeweza kuweka viwango vya juu kama mfano, alianza kujiona kama hana haja ya kuzuiliwa na Mungu kwa njia hii. Leo hii kama kiongozi wa kikristo anajiona kuwa hayumo kwenye mipaka ambayo Mungu ameiweka kwa Wakristo wa kawaida, kiongozi huyu atakuwa kwenye shida kubwa sana ya kiroho. Kwenye Kurani, hakuna mwanaume anayeruhusiwa kuwa na zaidi ya wake wanne, isipokuwa Muhammad tu, ambaye alitokea kuwa na wake karibu 24 baada ya Khadija, na Masuria kumi na wawili.
 
Zaidi ya hayo, Muhammad na Waislam wengine walikuwa na wasichana mateka na watumwa, na Kurani inawaruhusu Waislam kufanya tendo la ndoa na wanawake ambao wanawamiliki kwa nguvu ya mikono yao. (Sura 4:24; 23:5-6; 70:29-30; 33:50,52 Abu Dawud juzuu ya 2 na.2150 uk.577)
 
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Shalom
Like
1
Suche
Kategorien
Mehr lesen
OTHERS
Is the Jehovah’s Witness religion Christian?
The Jehovah’s Witness (aka Watchtower Bible and Tract Society) religion is not...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-29 06:19:46 0 8KB
OTHERS
UTATU UNATHIBITISHWA KWA KUTUMIA HESABU/HISABATI
Kumekuwa na madai na hoja nyingi sana kuhusu hili swala la UTATU. Wengine wanasema kuwa...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:58:07 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
The Holy Spirit In The Life Of Christ
In Luke 1:35 the angel Gabriel announces to Mary, “The Holy Spirit will come upon...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:33:40 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
SAFARI YA MBINGUNI ILIYO SALAMA NI HII HAPA!!!
Safari ya mbinguni ni maandalizi ya kupata ticket au visa ya kwenda mbinguni, visa hiyo ni YESU...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-19 05:47:28 0 5KB
OTHERS
Where is hell? What is the location of hell?
Various theories on the location of hell have been put forward. A traditional view is that hell...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:19:11 0 5KB