KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

0
4K
VIOJA NDANI YA KORAN.

KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.

Soma kwanza hii aya.

QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:

Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.

Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.

Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:34:41 0 5K
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:15:03 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI IMANI YA MWANAMKE MKANANAYO ILIONEKANA KUWA KUBWA?
Nakusalimu kwa jina la Bwana, amani na iwe kwako. Katika Mathayo 15:21-28 maandiko...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:17:48 0 5K
JOB
Verse by verse explanation of Job 32
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:09:35 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
JINSI WACHAWI WANAVYOCHUKUA NYOTA YAKO
UTANGULIZI: Huu ni mwendelezo wa somo la Nyota na Maisha mtu aliyonayo. Mathayo 2:1; Kama...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:13:14 0 6K