VIOJA NDANI YA KORAN.
KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.
Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.
Soma kwanza hii aya.
QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!
Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:
Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.
Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.
Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Search
Categories
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Read More
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 24
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
UKIITWA NA MUNGU KATIKA HUDUMA JIHADHARI USIOE AU KUOLEWA NA MWENZA WA UFALME WA GIZA
Biblia katika Waefeso 4:11-12 inasema ‘Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine...
Verse by verse explanation of 2 Kings 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
Verse by verse explanation of Exodus 38
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 22 questions at the...
Verse by verse explanation of 1 Kings 7
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 52 questions at the...