VIOJA NDANI YA KORAN.
KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.
Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.
Soma kwanza hii aya.
QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!
Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:
Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.
Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.
Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Suche
Kategorien
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Mehr lesen
KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?
Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa:
MFANO WA KWANZAYesu alipomponya mtu ambaye alikuwa hawezi kwa...
Verse by verse explanation of Leviticus 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 78 questions at the...
SAUTI YA MUNGU
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...
ARE THE JEHOVAH'S WITNESSES CHRISTIANS?
In the world of ministry to the cults, some things become abstract definitions of things rather...
JE, MAAMUZI YA NANI ATAKUWA MWENZI WAKO WA MAISHA NI YA MUNGU AU YA KWAKO?
Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; bali mke mwenye busara mtu...