VIOJA NDANI YA KORAN.
KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.
Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.
Soma kwanza hii aya.
QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!
Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:
Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.
Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.
Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Rechercher
Catégories
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Lire la suite
Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ‘ukiokoka, umeokolewa milele (the false doctrine of Once saved always saved, OSAS)
Fundisho la uongo kuwa “mtu akisha okoka, ameokoka siku zote” linafundisha kwamba...
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 20 questions at the...
WAISLAM WANASEMA KUWA WACHUNGAJI NI MBWA
1. Je Allah wa Quran ni Mchungaji?2. Je, Nabii Muhammad ni Mchungaji?
Naanza na mbwembwe...
What does it mean that Jesus is the Son of God?
Jesus is not God’s Son in the sense of a human father and a son. God did not get married...
UNYENYEKEVU.
Bwana Yesu asifiwe...
Kwa ufupi.
” Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni...