KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

0
5Кб
VIOJA NDANI YA KORAN.

KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.

Soma kwanza hii aya.

QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:

Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.

Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.

Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Поиск
Категории
Больше
OTHERS
KAMA YESU NI MUNGU, KWANINI ALIKUFA?
JE, MUNGU ANAKUFA? Hayo ni maswali ya Waislam kila siku, na kwenye hii mada nitayajibu. SOMA: 1...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-25 11:50:46 0 6Кб
DANIEL
DANIELI 4
JINA LA BWANA wetu YESU KRISTO, Mkuu wa milki zote za dunia lihimidiwe. Karibu katika...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-05 23:44:57 0 7Кб
REVELATION
MAJIRA YA KANISA LA LAODIKIA
(1) MLENGWA WA KANISAMlengwa hapa ni kanisa lililoko LaodikiaLaodikia ulikuwa ni mji ambao...
От GOSPEL PREACHER 2021-09-24 11:28:48 0 7Кб
ESTHER
Verse by verse explanation of Esther 2
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-04-02 12:47:34 0 6Кб
Injili Ya Yesu Kristo
NAMNA YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA ROHO MTAKATIFU.
Yohana 14:16-17. Biblia inasema “ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:59:31 0 5Кб