KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

0
5Кб
VIOJA NDANI YA KORAN.

KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.

Soma kwanza hii aya.

QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:

Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.

Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.

Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Поиск
Категории
Больше
OTHERS
Why did Jesus teach in parables?
It has been said that a parable is an earthly story with a heavenly meaning. The Lord Jesus...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:39:04 0 5Кб
SPIRITUAL EDUCATION
If Jesus is God, then who did He pray to?
This is a very common question and the answer is found in understanding...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:03:16 0 6Кб
Injili Ya Yesu Kristo
Alipita katikati yao Akaenda zake!
Luka 4:16-30 “Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika...
От GOSPEL PREACHER 2022-04-01 08:24:42 0 10Кб
URAFIKI KIBIBLIA
MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOCHAGUA MWENZI
Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mwenzi wa maisha Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-06 10:27:57 0 5Кб
Injili Ya Yesu Kristo
AINA TATU ZA WAKRISTO
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno matukufu ya uzima,...
От PROSPER HABONA 2022-01-23 04:38:19 0 8Кб