VIOJA NDANI YA KORAN.
KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.
Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.
Soma kwanza hii aya.
QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!
Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:
Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.
Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.
Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia mais
JIFUNZE KUFIKIRI KABLA HUJACHUKUA UAMUZI WA KUOA AU KUOLEWA
Nawasalimu kwa jina la Yesu . Leo katika nyanja hii ya vijana, nimeona ni vema tukashirikishana...
Verse by verse explanation of Job 39
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
Msiba katika bonde la kukata maneno!
Yoeli 3:12-14 “Mataifa na wajihimize, wakapande juu katika bonde la Yehoshafau; maana...
Book of Psalms Explained
Book of Psalms
“Title”: The English title comes for the Septuagint, which...
YESU NI MUNGU AMBAYE ANAPONYA MAGONJWA YOTE
Yesu alisema kwamba ishara moja itakayofuatana na waaminio ni kwamba wataweka mikono juu ya...