KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

0
4KB
VIOJA NDANI YA KORAN.

KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.

Soma kwanza hii aya.

QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:

Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.

Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.

Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Pesquisar
Categorias
Leia mais
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:00:21 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
KIASI NI NINI KATIKA UKRISTO?
Kiasi kama tafsiri yake  ilivyo ni  kuwa na uwezo wa kudhibiti jambo/tendo lisipitilize...
Por GOSPEL PREACHER 2022-05-21 04:15:18 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
HAKIKISHA UNAISHI MAISHA ULIYOKUSUDIWA UKIJUA KUSUDI LA UWEPO WAKO LIMEFUNGWA KWENYE MUDA
Mtu hakuumbwa (hakuzaliwa) kwa bahati mbaya bali kwa kusudi maalum la Mungu. Mungu...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 13:05:23 0 5KB
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:15:03 0 5KB
OTHERS
The 20 Versions of the Qur'an today. (7 are recorded in the Hadith.)
The Muslim Claim that the Qur'an is unchanged:No other book in the world can match the...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:43:46 0 5KB