"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?

1
8Кб

Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia

Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!

Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!

*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu

  1. Dunia ni duara(Isaya 40:22)
  2. Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
  3. Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
  4. Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
  5. Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
  6. Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
tenor.gif


7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)

Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi.                                    👇

IMG_20190613_120528_393.jpg


Hivyo Dunia ni tambarale  na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.

Поиск
Категории
Больше
Injili Ya Yesu Kristo
NI NINI MAANA YA “ROHO”?
Hebu tuzungumzie jinsi Biblia inavyotumia neno “roho.” Watu fulani hufikiri kwamba...
От MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:51:05 0 6Кб
NDOA KIBIBLIA
NDOA NA ROHO YA SIKU ZA MWISHO
Siku Za Mwisho:Siku za Mwisho ni siku zilizotajwa katika Biblia kuwa ni siku zote baada ya Yesu...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:31:00 0 5Кб
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 7
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-01-21 14:23:46 0 5Кб
JOSHUA
Verse by verse explanation of Joshua 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 13 questions at the...
От THE HOLY BIBLE 2022-01-25 08:18:33 0 5Кб
MAHUSIANO KIBIBLIA
KANUNI 7 ZA KUONGEA NA MWENZAKO MNAPOTOFAUTIANA
“Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba...
От GOSPEL PREACHER 2021-11-06 10:53:04 0 5Кб