"DUNIA SIO TUFE KAMA MPIRA" JE UMBO LA DUNIA BI LIPI?
Сообщение 2022-07-19 00:55:51
1
9Кб
Usibitisho wa kibiblia kuhusu umbo la dunia
Watu wengi wakizaliwa ukimuuliza kabla hajapata elimu ya kijografia, atasema dunia ni tambalale na sio tufe kama mpira, lakini elimu ya kisayansi ya jografi ndio inatudanganya wengi wetu!
Leo ni usibitisho wa kibiblia kuwa dunia sio tufe bali ni tambarale na duara kama chapati tu!
*Kwanza tuangalie sifa za dunia yetu
- Dunia ni duara(Isaya 40:22)
- Dunia ina misingi yake(Isaya 40:21)
- Anga la dunia lina nyota zake nyingi(Mwanzo 15:3-5,Ayubu 26:7-10)
- Dunia ina mipaka yake ya duara au ina miisho yake ambayo imezungukwa na maji(Ayubu 26:10)
- Dunia ina mwanga mkubwa(jua) na mwanga mdogo(mwenzi) vilivyowekwa katikati ya anga ya Dunia (Mwanzo 1:14-15)
- Jua na Mwenzi ndio vinazunguka Dunia(Yoshua 10:12-...)
7. Dunia ni Tambarale/flat(Ufunuo 1:8)
Kwaiyo umbo la dunia kibiblia ukisoma vizuri hiyo mistari hapo juu kwenye biblia, umbo la dunia linafanania hivi. 👇
Hivyo Dunia ni tambarale na duara kama chapati, sio tufe kama mpira, huo ni usibitisho wa kibiblia, pia wa kisayansi usibitisho upo, kuwa dunia sio tufe kama wanasayansi wanavyodai, bali ni tambarale.
Поиск
Категории
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Больше
UCHUMBA NI NINI? NA NDOA NI NINI?
Shalom, wapendwa,Katika somo letu leo nataka tuangalie vitu hivi viwili, mahusiano ya uchumba na...
Why Didn’t Jesus Save John The Baptist?
So..I’m studying Mathew and everytime I go forward I find myself coming back to chapter 4.....
JEHANAMU YA MOTO IPO NA ITAFANYA KAZI SIKU YA HUKUMU KUU. MATHAYO 13:40-50
JEHANAMU YA MOTO IPO NA ITAFANYA KAZI SIKU YA HUKUMU KUU. MATHAYO 13:40-50
WASABATO MTAACHA LINI KUPOTOSHA ULIMWENGU
Shalom wapendwa: Nashukuru kwa WAKRISTO wote wanaoendelea kushirikiana na mimi kutoa...
Verse by verse explanation of 1 Samuel 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...

