Ni kwa nini uzao wa ubikira ni wa maana?

0
5K
 Funzo la uzao wa ubikira ni la maana sana (Isaya 7:14 Mathayo 1:23; Luka 1:27,34). Kwanza, hebu tuangazie vile bibilia inavyo lieleza swala la uzao wa ubikira. Kulingana na swali la Mariamu, “Litakuwaje neno hili?” (Luka 1:34), Gabrieli anasema, “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu” (Luka 1:35). Malaika alimtia moyo Zekaria isiwe na hofu mchukue Mariamu kama mke wako kwa maneno haya: “mimba aliyoibeba ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu” (Mathayo 1:18). Wagalatia 4:4 pia yafunza juu ya uzao wa ubikira “Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke.”
 
Kutoka kwa ukurasa huu, ni kweli kwamba kuzaliwa kwa Yesu kulikuwa kwa Roho Mtakatifu uliofanya kazi ndani ya Mariamu. Roho usio na mwili na mwili (tumbo ya Mariamu) vyote viliusika. Mariamu hangeweza kujitia mimba, kwa hali hiyo alitumika kama “chombo” ni Mungu pekee angeweza kutenda muujiza wa mwili na kuchukua ule wa mwanadamu.
 
Kukataa upatanisho wa Mariamu na Yesu itamaanisha kwamba Yesu hakuwa binadamu kabisa. Maandiko yafunza kwamba Yesu alikuwa binadamu, mwili kama wetu. Huu aliupokea kutoka kwa Mariamu. Kwa wakati huo, kikamilifu Yesu alikua Mungu, akiwa na mwili wa milele usio na mawaa (Yohana 1:14; 1Timotheo 3:16; Waebrania 2:14-17.)
 
Yesu hakuzaliwa kwa dhambi; hiyo ni kusema hakuwa na hali ya dhambi (Waebrania 7:26). Itaonekana kuwa hali ya dhambi itapitishwa kutoka kizazi hadi kizazi kingine kupitia kwa baba (Warumi 5:12, 17, 19). Uzao wa ubikira wa Yesu haukufuata hali ile ya kupitisha dhambi kutoka kizazi hadi kizazi na kumruhusu Mungu aishiye milele kuwa mwanadamu kamili.
Zoeken
Categorieën
Read More
SPIRITUAL EDUCATION
YOUR BODY WAS PURCHASED BY JESUS CHRIST
(I Corinthians 6:12-20): 12 All things are lawful for me, but all things are not helpful. All...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:40:26 0 5K
BACHELOR
BACHELOR
List of all subjects for the students who are taking bachelor courses.
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:55:07 0 5K
MAHUSIANO KIBIBLIA
AINA 8 ZA WANAWAKE WASIODUMU KWENYE MAHUSIANO
Hakuna mtu anayependa kuachika au kuvunja mahusiano. Iwe mwanaume au mwanamke kitengo cha...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-06 12:48:08 0 10K
DARASA LA 2
DARASA LA 2
Orodha ya masomo yote ya darasa la 1
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:14:30 0 6K
OTHERS
ASILI YA QURAN NA UISLAM NI SHETANI
Ndugu msomaji, Leo tutajifunza asili na au mwanzo wa Quran na Uislam ni nini na au nani? Bila ya...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:15:25 0 7K