Ni kwa nini uzao wa ubikira ni wa maana?

0
5KB
 Funzo la uzao wa ubikira ni la maana sana (Isaya 7:14 Mathayo 1:23; Luka 1:27,34). Kwanza, hebu tuangazie vile bibilia inavyo lieleza swala la uzao wa ubikira. Kulingana na swali la Mariamu, “Litakuwaje neno hili?” (Luka 1:34), Gabrieli anasema, “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu” (Luka 1:35). Malaika alimtia moyo Zekaria isiwe na hofu mchukue Mariamu kama mke wako kwa maneno haya: “mimba aliyoibeba ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu” (Mathayo 1:18). Wagalatia 4:4 pia yafunza juu ya uzao wa ubikira “Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke.”
 
Kutoka kwa ukurasa huu, ni kweli kwamba kuzaliwa kwa Yesu kulikuwa kwa Roho Mtakatifu uliofanya kazi ndani ya Mariamu. Roho usio na mwili na mwili (tumbo ya Mariamu) vyote viliusika. Mariamu hangeweza kujitia mimba, kwa hali hiyo alitumika kama “chombo” ni Mungu pekee angeweza kutenda muujiza wa mwili na kuchukua ule wa mwanadamu.
 
Kukataa upatanisho wa Mariamu na Yesu itamaanisha kwamba Yesu hakuwa binadamu kabisa. Maandiko yafunza kwamba Yesu alikuwa binadamu, mwili kama wetu. Huu aliupokea kutoka kwa Mariamu. Kwa wakati huo, kikamilifu Yesu alikua Mungu, akiwa na mwili wa milele usio na mawaa (Yohana 1:14; 1Timotheo 3:16; Waebrania 2:14-17.)
 
Yesu hakuzaliwa kwa dhambi; hiyo ni kusema hakuwa na hali ya dhambi (Waebrania 7:26). Itaonekana kuwa hali ya dhambi itapitishwa kutoka kizazi hadi kizazi kingine kupitia kwa baba (Warumi 5:12, 17, 19). Uzao wa ubikira wa Yesu haukufuata hali ile ya kupitisha dhambi kutoka kizazi hadi kizazi na kumruhusu Mungu aishiye milele kuwa mwanadamu kamili.
Suche
Kategorien
Mehr lesen
OTHERS
Marriage in Islam and Christianity
Islam: A Muslim man can marry more than one wife. Some suggest that he can have 4 wives at one...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:51:12 0 5KB
JOB
Verse by verse explanation of Job 17
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 20 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-04-03 03:32:17 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
Who is Jesus Christ and what is His mission to the world?
Is certainly a logical question to ask. He changed the world in only 30 years on earth, and no...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:14:40 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
UNAFAHAMU NINI KUHUSU HERODE?
Picha kutoka Google.   Kwa ufupi… Bwana Yesu asifiwe… Hivi unafahamu ni nini...
Von GOSPEL PREACHER 2022-03-30 05:12:08 0 6KB
1 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 1 Chronicles 7
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-03-20 04:43:04 0 5KB