KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

0
5K
VIOJA NDANI YA KORAN.

KORAN INADAI KUWA YESU ALIZEEKEA HAPA DUNIANI.

Leo tunajifunza Vioja vya Allah na Koran. Koran kupitia Allah na Mtume wake Muhammad inaleta UTATA pale ilipo sema eti Yesu alizeeka.

Soma kwanza hii aya.

QURAN 5:110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na uzeeni. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Leo tumesoma kutoka Quran kuwa Yesu alizeeka. Sasa angalia UTATA huu hapa:

Huduma ya Yesu ilidumu hadi alipokuwa na miaka 33. Hii ni aya ilikubalika na Yusuf Ali katika maoni yak. 388 juu ya Sura 3:46.

Sasa leo tumejifunza tena Vioja na Utata ndani ya Koran.

Je, kweli Allah anaweza kufanya makosa ya namna hii? You Judge if Allah is God.
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 11
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:15:03 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
JEHOVAH'S WITNESSES: FALSE TEACHINGS
JEHOVAH'S WITNESSES: The Watchtower Society FALSE TEACHINGS "If they speak not according to...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:44:06 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
MIKATABA INAYOTOKANA NA KAFARA
Na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima    Utangulizi: Wakristo wengi huwa hawazungumzii...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:28:30 0 5K
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:49:47 0 5K
OTHERS
UTATU UNATHIBITISHWA KWA KUTUMIA HESABU/HISABATI
Kumekuwa na madai na hoja nyingi sana kuhusu hili swala la UTATU. Wengine wanasema kuwa...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:58:07 0 5K