KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
Posté 2023-10-10 20:38:59
4
5KB

KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
- NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_KWA_MAANA_KUJIZOEZA_KUPATA_NGUVU_ZA_MWILI_KUNAFAA_BALI_ZA_KIROHO_ZAIDI_SANA_Nataka_niseme_neno_kidogo_kuhusu_mazoezi_ya_mwili_kufunua_jambo_la_kiroho._Sio_kila_mara_unapomwona_mchezaji_anaingia_uwanjani_anaingia_uwanjani_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Mchezaji_anaingia_uwanjani_mara_nyingi_zaidi_kwa_ajili_ya_maandalizi_na_mazoezi_kuliko_anavyoingia_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Kiwango_cha_ufanisi_cha_mchezaji_katika_mechi_au_mashindano_kinategemea_sana_alijiandaaje_na_mazoezi_aliyoyafanya. Kuna_mazoezi_anayoyafanya_mchezaji_ambayo_yanamwongezea_nguvu. Yapo_ambayo_yanamwongezea_pumzi. Yapo_yanayomwongezea_ujuzi
- uwepesi_na_umahiri._Ninachojaribu_kusema_ni_ubora_wa_mchezaji_hautokani_na_uwezo_wake_wa_kucheza_au_kushindana_bali_maandalizi_yake_na_mazoezi_yake. Kadhalika_katika_mambo_ya_rohoni. Maandalizi_ni_muhimu_mno_mno_mno._Usisubiri_upate_shida_ndo_uombe._Yapo_maombi_kwa_kusudi_la_kupata_majibu_ya_mambo_mbali_mbali_maishani_alafu_yapo_yale_ambayo_ni_maandalizi_na_mazoezi_hasa_yale_ambayo_unalazimika_kila_siku_kuamka_kuomba. Unapotegea_maombi_yako_binafsi_au_yale_ya_kanisani_kwenu_au_kikundi_ulichopo_unajitegea_mwenyewe_kwenye_maandalizi_na_mazoezi_yako_ya_kiroho._Kadhalika_usomaji_wa_neno_na_kufunga. Vyote_hivi_ni_mazoezi_ya_kiroho_yanayomwimarisha_na_kumtia_nguvu_mtu_wa_ndani_ili_siku_ya_mechi_(changamoto
- taabu
- shida
- uhitaji)_uwe_upo_vizuri_kukabiliana._Wengi_tunafeli_siku_ya_dhiki_maana_nguvu_zetu_ni_kidogo. Hatujajijengea_nidhamu_ya_kuomba
- kusoma_neno
- kuhudhuria_ibada
- kufunga_nk_ambayo_itamwimarisha_na_kumwandaa_mtu_wetu_wa_ndani_kwa_ajili_ya_siku_ya_uovu_na_vita. Kama_mazoezi_yalivyo_ya_muhimu_kwa_ajili_ya_kumwandaa_mwanamichezo_hodari
- mahiri
- mwenye_ujuzi
- pumzi_na_nguvu
- kadhalika_mazoezi_ya_kiroho_ni_muhimu_mno_kwa_ajili_ya_kumwandaa_wewe_mwenye_nguvu_za_kiroho
- pumzi_ya_kiroho
- umahiri_na_uweledi_wa_kiroho._Acha_kuendelea_kupuuzia_mazoezi_ya_kiroho._Itakugharimu_siku_ya_vita._Kumbuka:_Jasho_jingi_mazoezini
- damu_chache_vitani._Jasho_kidogo_mazoezini
- damu_nyingi_vitani._“Kwa_maana_kujizoeza_kupata_nguvu_za_mwili_kwafaa_kidogo
- lakini_utauwa_hufaa_kwa_mambo_yote;_yaani
- unayo_ahadi_ya_uzima_wa_sasa
- na_ya_ule_utakaokuwapo_baadaye.”_(1_Ti.4:8)._Kumbuka_bila_Yesu_kuwepo_ndani_yetu_na_kutupatia_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_basi_hatuwezi_kuzaa_matunda
- na_ikiwa_hatuzai_matunda_basi_tutakatwa_na_kutupwa_njiani_tukanyagiwe_tukikauka_basi_tutatupwa_motoni_milele.Hivyo_basi_chukua_hatua_sasa_ya_kuokoka_ikiwa_bado_hujaokoka_na_kubatizwa_kwa_ubatizo_sahihi_wa_maji_mengi_na_kwa_jina_la_Yesu_mkiri_Yesu_leo_na_kumuamini_upate_kuokoka_na_moto_ule_wa_jehanamu.(YOHANA_15:1-6
- WARUMI_10:9-11)_Ubarikiwe_sana_GIDION_LAIZER._NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_NJIRO_TANZANIA


Rechercher
Catégories
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Lire la suite
Msiba katika bonde la kukata maneno!
Yoeli 3:12-14 “Mataifa na wajihimize, wakapande juu katika bonde la Yehoshafau; maana...
MAOMBI PEKE YAKE BILA IMANI HAYATOSHI KUTENGENEZA JIBU LA MAHITAJI YAKO.
Marko 9:14-29.
Hii ni habari ya yule baba aliyekuwa na mwana mwenye pepo bubu na kiziwi, akamleta...
Verse by verse explanation of 1 Samuel 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...
Malaika Waliofanya Dhambi
Biblia inafundisha kwamba Mungu ni Roho na kwamba viumbe wake wa kwanza walikuwa roho. (Yohana...
Verse by verse explanation of Numbers 32
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...