KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
Δημοσιευμένα 2023-10-10 20:38:59
4
6χλμ.
KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
- NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_KWA_MAANA_KUJIZOEZA_KUPATA_NGUVU_ZA_MWILI_KUNAFAA_BALI_ZA_KIROHO_ZAIDI_SANA_Nataka_niseme_neno_kidogo_kuhusu_mazoezi_ya_mwili_kufunua_jambo_la_kiroho._Sio_kila_mara_unapomwona_mchezaji_anaingia_uwanjani_anaingia_uwanjani_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Mchezaji_anaingia_uwanjani_mara_nyingi_zaidi_kwa_ajili_ya_maandalizi_na_mazoezi_kuliko_anavyoingia_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Kiwango_cha_ufanisi_cha_mchezaji_katika_mechi_au_mashindano_kinategemea_sana_alijiandaaje_na_mazoezi_aliyoyafanya. Kuna_mazoezi_anayoyafanya_mchezaji_ambayo_yanamwongezea_nguvu. Yapo_ambayo_yanamwongezea_pumzi. Yapo_yanayomwongezea_ujuzi
- uwepesi_na_umahiri._Ninachojaribu_kusema_ni_ubora_wa_mchezaji_hautokani_na_uwezo_wake_wa_kucheza_au_kushindana_bali_maandalizi_yake_na_mazoezi_yake. Kadhalika_katika_mambo_ya_rohoni. Maandalizi_ni_muhimu_mno_mno_mno._Usisubiri_upate_shida_ndo_uombe._Yapo_maombi_kwa_kusudi_la_kupata_majibu_ya_mambo_mbali_mbali_maishani_alafu_yapo_yale_ambayo_ni_maandalizi_na_mazoezi_hasa_yale_ambayo_unalazimika_kila_siku_kuamka_kuomba. Unapotegea_maombi_yako_binafsi_au_yale_ya_kanisani_kwenu_au_kikundi_ulichopo_unajitegea_mwenyewe_kwenye_maandalizi_na_mazoezi_yako_ya_kiroho._Kadhalika_usomaji_wa_neno_na_kufunga. Vyote_hivi_ni_mazoezi_ya_kiroho_yanayomwimarisha_na_kumtia_nguvu_mtu_wa_ndani_ili_siku_ya_mechi_(changamoto
- taabu
- shida
- uhitaji)_uwe_upo_vizuri_kukabiliana._Wengi_tunafeli_siku_ya_dhiki_maana_nguvu_zetu_ni_kidogo. Hatujajijengea_nidhamu_ya_kuomba
- kusoma_neno
- kuhudhuria_ibada
- kufunga_nk_ambayo_itamwimarisha_na_kumwandaa_mtu_wetu_wa_ndani_kwa_ajili_ya_siku_ya_uovu_na_vita. Kama_mazoezi_yalivyo_ya_muhimu_kwa_ajili_ya_kumwandaa_mwanamichezo_hodari
- mahiri
- mwenye_ujuzi
- pumzi_na_nguvu
- kadhalika_mazoezi_ya_kiroho_ni_muhimu_mno_kwa_ajili_ya_kumwandaa_wewe_mwenye_nguvu_za_kiroho
- pumzi_ya_kiroho
- umahiri_na_uweledi_wa_kiroho._Acha_kuendelea_kupuuzia_mazoezi_ya_kiroho._Itakugharimu_siku_ya_vita._Kumbuka:_Jasho_jingi_mazoezini
- damu_chache_vitani._Jasho_kidogo_mazoezini
- damu_nyingi_vitani._“Kwa_maana_kujizoeza_kupata_nguvu_za_mwili_kwafaa_kidogo
- lakini_utauwa_hufaa_kwa_mambo_yote;_yaani
- unayo_ahadi_ya_uzima_wa_sasa
- na_ya_ule_utakaokuwapo_baadaye.”_(1_Ti.4:8)._Kumbuka_bila_Yesu_kuwepo_ndani_yetu_na_kutupatia_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_basi_hatuwezi_kuzaa_matunda
- na_ikiwa_hatuzai_matunda_basi_tutakatwa_na_kutupwa_njiani_tukanyagiwe_tukikauka_basi_tutatupwa_motoni_milele.Hivyo_basi_chukua_hatua_sasa_ya_kuokoka_ikiwa_bado_hujaokoka_na_kubatizwa_kwa_ubatizo_sahihi_wa_maji_mengi_na_kwa_jina_la_Yesu_mkiri_Yesu_leo_na_kumuamini_upate_kuokoka_na_moto_ule_wa_jehanamu.(YOHANA_15:1-6
- WARUMI_10:9-11)_Ubarikiwe_sana_GIDION_LAIZER._NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_NJIRO_TANZANIA
Αναζήτηση
Κατηγορίες
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Διαβάζω περισσότερα
Marriage in Islam and Christianity
Islam:
A Muslim man can marry more than one wife. Some suggest that he can have 4 wives at one...
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 27
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 20 questions at the...
NAFASI YA MWANAMKE KIBIBLIA
Mwanzo 1:27 ‘Mungu akaumba mtu kwa mfano wake,kwa mfano wa Mungu alimwumba,mwanaume na...
FUND FUND
Jeremiah Chapter 48
Verses 1-47: The Moabites were descendants of Lot who lived east of the...
MUHAMMAD ALIKUWA NA WAKE ZAIDI YA 20
Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Ifuatayo ni orodha ya wake wa Muhammad iliyoandaliwa na mwanazuoni wa...