KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
Posted 2023-10-10 20:38:59
4
5K

KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
- NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_KWA_MAANA_KUJIZOEZA_KUPATA_NGUVU_ZA_MWILI_KUNAFAA_BALI_ZA_KIROHO_ZAIDI_SANA_Nataka_niseme_neno_kidogo_kuhusu_mazoezi_ya_mwili_kufunua_jambo_la_kiroho._Sio_kila_mara_unapomwona_mchezaji_anaingia_uwanjani_anaingia_uwanjani_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Mchezaji_anaingia_uwanjani_mara_nyingi_zaidi_kwa_ajili_ya_maandalizi_na_mazoezi_kuliko_anavyoingia_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Kiwango_cha_ufanisi_cha_mchezaji_katika_mechi_au_mashindano_kinategemea_sana_alijiandaaje_na_mazoezi_aliyoyafanya. Kuna_mazoezi_anayoyafanya_mchezaji_ambayo_yanamwongezea_nguvu. Yapo_ambayo_yanamwongezea_pumzi. Yapo_yanayomwongezea_ujuzi
- uwepesi_na_umahiri._Ninachojaribu_kusema_ni_ubora_wa_mchezaji_hautokani_na_uwezo_wake_wa_kucheza_au_kushindana_bali_maandalizi_yake_na_mazoezi_yake. Kadhalika_katika_mambo_ya_rohoni. Maandalizi_ni_muhimu_mno_mno_mno._Usisubiri_upate_shida_ndo_uombe._Yapo_maombi_kwa_kusudi_la_kupata_majibu_ya_mambo_mbali_mbali_maishani_alafu_yapo_yale_ambayo_ni_maandalizi_na_mazoezi_hasa_yale_ambayo_unalazimika_kila_siku_kuamka_kuomba. Unapotegea_maombi_yako_binafsi_au_yale_ya_kanisani_kwenu_au_kikundi_ulichopo_unajitegea_mwenyewe_kwenye_maandalizi_na_mazoezi_yako_ya_kiroho._Kadhalika_usomaji_wa_neno_na_kufunga. Vyote_hivi_ni_mazoezi_ya_kiroho_yanayomwimarisha_na_kumtia_nguvu_mtu_wa_ndani_ili_siku_ya_mechi_(changamoto
- taabu
- shida
- uhitaji)_uwe_upo_vizuri_kukabiliana._Wengi_tunafeli_siku_ya_dhiki_maana_nguvu_zetu_ni_kidogo. Hatujajijengea_nidhamu_ya_kuomba
- kusoma_neno
- kuhudhuria_ibada
- kufunga_nk_ambayo_itamwimarisha_na_kumwandaa_mtu_wetu_wa_ndani_kwa_ajili_ya_siku_ya_uovu_na_vita. Kama_mazoezi_yalivyo_ya_muhimu_kwa_ajili_ya_kumwandaa_mwanamichezo_hodari
- mahiri
- mwenye_ujuzi
- pumzi_na_nguvu
- kadhalika_mazoezi_ya_kiroho_ni_muhimu_mno_kwa_ajili_ya_kumwandaa_wewe_mwenye_nguvu_za_kiroho
- pumzi_ya_kiroho
- umahiri_na_uweledi_wa_kiroho._Acha_kuendelea_kupuuzia_mazoezi_ya_kiroho._Itakugharimu_siku_ya_vita._Kumbuka:_Jasho_jingi_mazoezini
- damu_chache_vitani._Jasho_kidogo_mazoezini
- damu_nyingi_vitani._“Kwa_maana_kujizoeza_kupata_nguvu_za_mwili_kwafaa_kidogo
- lakini_utauwa_hufaa_kwa_mambo_yote;_yaani
- unayo_ahadi_ya_uzima_wa_sasa
- na_ya_ule_utakaokuwapo_baadaye.”_(1_Ti.4:8)._Kumbuka_bila_Yesu_kuwepo_ndani_yetu_na_kutupatia_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_basi_hatuwezi_kuzaa_matunda
- na_ikiwa_hatuzai_matunda_basi_tutakatwa_na_kutupwa_njiani_tukanyagiwe_tukikauka_basi_tutatupwa_motoni_milele.Hivyo_basi_chukua_hatua_sasa_ya_kuokoka_ikiwa_bado_hujaokoka_na_kubatizwa_kwa_ubatizo_sahihi_wa_maji_mengi_na_kwa_jina_la_Yesu_mkiri_Yesu_leo_na_kumuamini_upate_kuokoka_na_moto_ule_wa_jehanamu.(YOHANA_15:1-6
- WARUMI_10:9-11)_Ubarikiwe_sana_GIDION_LAIZER._NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_NJIRO_TANZANIA


Cerca
Categorie
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leggi tutto
KAMA YESU NI MUNGU, KWANINI ALIKUFA?
JE, MUNGU ANAKUFA?
Hayo ni maswali ya Waislam kila siku, na kwenye hii mada nitayajibu.
SOMA: 1...
Verse by verse explanation of Numbers 12
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
Bible Verses that say “Jesus is God”
Some people claim to believe that Jesus was a “good prophet”, but they deny that...
FURAHA YA BWANA NI NGUVU ZAKO.
Mpendwa wangu nina kusalimu katika Jina lipitalo majina yote, Yesu Kristo Mwana wa Mungu Aliye...
Verse by verse explanation of Psalm 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...