KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
Postado 2023-10-10 20:38:59
4
5K
KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
- NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_KWA_MAANA_KUJIZOEZA_KUPATA_NGUVU_ZA_MWILI_KUNAFAA_BALI_ZA_KIROHO_ZAIDI_SANA_Nataka_niseme_neno_kidogo_kuhusu_mazoezi_ya_mwili_kufunua_jambo_la_kiroho._Sio_kila_mara_unapomwona_mchezaji_anaingia_uwanjani_anaingia_uwanjani_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Mchezaji_anaingia_uwanjani_mara_nyingi_zaidi_kwa_ajili_ya_maandalizi_na_mazoezi_kuliko_anavyoingia_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Kiwango_cha_ufanisi_cha_mchezaji_katika_mechi_au_mashindano_kinategemea_sana_alijiandaaje_na_mazoezi_aliyoyafanya. Kuna_mazoezi_anayoyafanya_mchezaji_ambayo_yanamwongezea_nguvu. Yapo_ambayo_yanamwongezea_pumzi. Yapo_yanayomwongezea_ujuzi
- uwepesi_na_umahiri._Ninachojaribu_kusema_ni_ubora_wa_mchezaji_hautokani_na_uwezo_wake_wa_kucheza_au_kushindana_bali_maandalizi_yake_na_mazoezi_yake. Kadhalika_katika_mambo_ya_rohoni. Maandalizi_ni_muhimu_mno_mno_mno._Usisubiri_upate_shida_ndo_uombe._Yapo_maombi_kwa_kusudi_la_kupata_majibu_ya_mambo_mbali_mbali_maishani_alafu_yapo_yale_ambayo_ni_maandalizi_na_mazoezi_hasa_yale_ambayo_unalazimika_kila_siku_kuamka_kuomba. Unapotegea_maombi_yako_binafsi_au_yale_ya_kanisani_kwenu_au_kikundi_ulichopo_unajitegea_mwenyewe_kwenye_maandalizi_na_mazoezi_yako_ya_kiroho._Kadhalika_usomaji_wa_neno_na_kufunga. Vyote_hivi_ni_mazoezi_ya_kiroho_yanayomwimarisha_na_kumtia_nguvu_mtu_wa_ndani_ili_siku_ya_mechi_(changamoto
- taabu
- shida
- uhitaji)_uwe_upo_vizuri_kukabiliana._Wengi_tunafeli_siku_ya_dhiki_maana_nguvu_zetu_ni_kidogo. Hatujajijengea_nidhamu_ya_kuomba
- kusoma_neno
- kuhudhuria_ibada
- kufunga_nk_ambayo_itamwimarisha_na_kumwandaa_mtu_wetu_wa_ndani_kwa_ajili_ya_siku_ya_uovu_na_vita. Kama_mazoezi_yalivyo_ya_muhimu_kwa_ajili_ya_kumwandaa_mwanamichezo_hodari
- mahiri
- mwenye_ujuzi
- pumzi_na_nguvu
- kadhalika_mazoezi_ya_kiroho_ni_muhimu_mno_kwa_ajili_ya_kumwandaa_wewe_mwenye_nguvu_za_kiroho
- pumzi_ya_kiroho
- umahiri_na_uweledi_wa_kiroho._Acha_kuendelea_kupuuzia_mazoezi_ya_kiroho._Itakugharimu_siku_ya_vita._Kumbuka:_Jasho_jingi_mazoezini
- damu_chache_vitani._Jasho_kidogo_mazoezini
- damu_nyingi_vitani._“Kwa_maana_kujizoeza_kupata_nguvu_za_mwili_kwafaa_kidogo
- lakini_utauwa_hufaa_kwa_mambo_yote;_yaani
- unayo_ahadi_ya_uzima_wa_sasa
- na_ya_ule_utakaokuwapo_baadaye.”_(1_Ti.4:8)._Kumbuka_bila_Yesu_kuwepo_ndani_yetu_na_kutupatia_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_basi_hatuwezi_kuzaa_matunda
- na_ikiwa_hatuzai_matunda_basi_tutakatwa_na_kutupwa_njiani_tukanyagiwe_tukikauka_basi_tutatupwa_motoni_milele.Hivyo_basi_chukua_hatua_sasa_ya_kuokoka_ikiwa_bado_hujaokoka_na_kubatizwa_kwa_ubatizo_sahihi_wa_maji_mengi_na_kwa_jina_la_Yesu_mkiri_Yesu_leo_na_kumuamini_upate_kuokoka_na_moto_ule_wa_jehanamu.(YOHANA_15:1-6
- WARUMI_10:9-11)_Ubarikiwe_sana_GIDION_LAIZER._NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_NJIRO_TANZANIA
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia Mais
Verse by verse explanation of Genesis 3
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 57 questions at the...
Verse by verse explanation of 2 Kings 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
JE DHAMBI NI NINI?
Biblia inatueleza kuhusu hii dhambi kuwa ni kitu gani. Inafafanua kuwa dhambi ni “uasi au...
Verse by verse explanation of Joshua 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 13 questions at the...
HATARI ZA KUWA NA MAHUSIANO YASIYO SAHIHI
UTANGULIZIMahusiano yasiyo sahihi ni mahusiano ya namna gani? Haya ni mahusiano kwanza kabisa...