KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
Postado 2023-10-10 20:38:59
4
5KB
KWA MAANA KUJIZOEZA KUPATA NGUVU ZA MWILI KUNAFAA BALI ZA KIROHO ZAIDI SANA
- NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_KWA_MAANA_KUJIZOEZA_KUPATA_NGUVU_ZA_MWILI_KUNAFAA_BALI_ZA_KIROHO_ZAIDI_SANA_Nataka_niseme_neno_kidogo_kuhusu_mazoezi_ya_mwili_kufunua_jambo_la_kiroho._Sio_kila_mara_unapomwona_mchezaji_anaingia_uwanjani_anaingia_uwanjani_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Mchezaji_anaingia_uwanjani_mara_nyingi_zaidi_kwa_ajili_ya_maandalizi_na_mazoezi_kuliko_anavyoingia_kwa_ajili_ya_mechi_au_mashindano. Kiwango_cha_ufanisi_cha_mchezaji_katika_mechi_au_mashindano_kinategemea_sana_alijiandaaje_na_mazoezi_aliyoyafanya. Kuna_mazoezi_anayoyafanya_mchezaji_ambayo_yanamwongezea_nguvu. Yapo_ambayo_yanamwongezea_pumzi. Yapo_yanayomwongezea_ujuzi
- uwepesi_na_umahiri._Ninachojaribu_kusema_ni_ubora_wa_mchezaji_hautokani_na_uwezo_wake_wa_kucheza_au_kushindana_bali_maandalizi_yake_na_mazoezi_yake. Kadhalika_katika_mambo_ya_rohoni. Maandalizi_ni_muhimu_mno_mno_mno._Usisubiri_upate_shida_ndo_uombe._Yapo_maombi_kwa_kusudi_la_kupata_majibu_ya_mambo_mbali_mbali_maishani_alafu_yapo_yale_ambayo_ni_maandalizi_na_mazoezi_hasa_yale_ambayo_unalazimika_kila_siku_kuamka_kuomba. Unapotegea_maombi_yako_binafsi_au_yale_ya_kanisani_kwenu_au_kikundi_ulichopo_unajitegea_mwenyewe_kwenye_maandalizi_na_mazoezi_yako_ya_kiroho._Kadhalika_usomaji_wa_neno_na_kufunga. Vyote_hivi_ni_mazoezi_ya_kiroho_yanayomwimarisha_na_kumtia_nguvu_mtu_wa_ndani_ili_siku_ya_mechi_(changamoto
- taabu
- shida
- uhitaji)_uwe_upo_vizuri_kukabiliana._Wengi_tunafeli_siku_ya_dhiki_maana_nguvu_zetu_ni_kidogo. Hatujajijengea_nidhamu_ya_kuomba
- kusoma_neno
- kuhudhuria_ibada
- kufunga_nk_ambayo_itamwimarisha_na_kumwandaa_mtu_wetu_wa_ndani_kwa_ajili_ya_siku_ya_uovu_na_vita. Kama_mazoezi_yalivyo_ya_muhimu_kwa_ajili_ya_kumwandaa_mwanamichezo_hodari
- mahiri
- mwenye_ujuzi
- pumzi_na_nguvu
- kadhalika_mazoezi_ya_kiroho_ni_muhimu_mno_kwa_ajili_ya_kumwandaa_wewe_mwenye_nguvu_za_kiroho
- pumzi_ya_kiroho
- umahiri_na_uweledi_wa_kiroho._Acha_kuendelea_kupuuzia_mazoezi_ya_kiroho._Itakugharimu_siku_ya_vita._Kumbuka:_Jasho_jingi_mazoezini
- damu_chache_vitani._Jasho_kidogo_mazoezini
- damu_nyingi_vitani._“Kwa_maana_kujizoeza_kupata_nguvu_za_mwili_kwafaa_kidogo
- lakini_utauwa_hufaa_kwa_mambo_yote;_yaani
- unayo_ahadi_ya_uzima_wa_sasa
- na_ya_ule_utakaokuwapo_baadaye.”_(1_Ti.4:8)._Kumbuka_bila_Yesu_kuwepo_ndani_yetu_na_kutupatia_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_basi_hatuwezi_kuzaa_matunda
- na_ikiwa_hatuzai_matunda_basi_tutakatwa_na_kutupwa_njiani_tukanyagiwe_tukikauka_basi_tutatupwa_motoni_milele.Hivyo_basi_chukua_hatua_sasa_ya_kuokoka_ikiwa_bado_hujaokoka_na_kubatizwa_kwa_ubatizo_sahihi_wa_maji_mengi_na_kwa_jina_la_Yesu_mkiri_Yesu_leo_na_kumuamini_upate_kuokoka_na_moto_ule_wa_jehanamu.(YOHANA_15:1-6
- WARUMI_10:9-11)_Ubarikiwe_sana_GIDION_LAIZER._NURU_YA_UPENDO_ARUSHA_NJIRO_TANZANIA
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia mais
Verse by verse explanation of 2 Samuel 5
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
Verse by verse explanation of Genesis 1
o
GENESIS 1
GENESIS 2
GENESIS 3
GENESIS 4
GENESIS 5
GENESIS 6...
VIOJA VYA MUHAMMAD: ETI MAITI YA KIISLAMU INA UFAHAMU. NA INAJUA NANI ANAIBEBA
Kasema Mtume (S.a.w)“Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani...
EPUKA MOTO WA KIGENI
YALIYOMO 1. Utangulizi 2. Moto wa Kigeni 3. Hitimisho MALENGO YA FUNDISO...
IPONYE NAFSI YAKO, EPUKA MANABII WA UONGO
Muhubiri/ Mtumishi yeyote aliyerudi nyuma na kusahau kusudi lake tayari anageuka kuwa nabii wa...