EPUKA UONGO UKIENDELEA KUTENDA DHAMBI BAADA YA KUOKOKA, HUENDI MBINGUNI KAMWE / IF YOU CONTINUE TO SIN AFTER BEING SAVED, YOU WILL NOT GO TO HEAVEN

0
6K

SWAHILI: Bwana Yesu (ambaye ni Mungu mkuu na mwokozi wetu, Tito 2:13)  asifiweeee! Lengo la mafundisho haya ni kuwaonya watu wasiiamini injili ya uongo, inayofundisha kuwa Mkristo aliyeokoka atakwenda Mbinguni, hata kama ataendelea kuishi maisha ya dhambi baada ya kuokoka. Ninakusihi fuatilia mfululizo wa masomo yaliyoorodheshwa hapo chini, na Roho Mtakatifu atazidi kukufundisha kweli yote, kama Kristo Yesu alivyoahidi katika Yohana 14:26.

ENGLISH: Praise the Lord Jesus (who is our great God and Savior, Titus 2:13)! The purpose of this teaching is to warn people not to believe the false gospel, which teaches that a saved Christian will go to Heaven, even if he/she continues to live a sinful life after being saved. I urge you to follow this series of lessons listed below, and the Holy Spirit will continue to teach you all the truth, as Christ Jesus promised in John 14:26.

  1. SOMO LA 1 / SUBJECT 1
    1. KISWAHILI: Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ukiokoka, umeokolewa milele.
    2. ENGLISH: Looking at the false doctrine of, once saved, always saved 
  2. SOMO LA 2 / SUBJECT 2
    1. KISWAHILI: Ukweli kuhusu haki ipatikanayo kwa imani
    2. ENGLISH: The truth about righteousness found in faith
  3. SOMO LA 3 / SUBJECT 3
    1. KISWAHILI: Epuka injili ya uongo (Audio iliyoahidiwa)

MUNGU AKUBARIKI SANA / MAY GOD BLESS YOU ABUNDANTLY

Love
1
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
SPIRITUAL EDUCATION
MIKATABA INAYOTOKANA NA KAFARA
Na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima    Utangulizi: Wakristo wengi huwa hawazungumzii...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:28:30 0 5K
OTHERS
Je, Unafahamu Kuwa Majini ni Ndugu za Waislamu?
MAJINI [MASHETANI] NI NDUGU ZA WAISLAMU Na. Mwl. Daniel Mwankemwa Utangulizi: Majini ni...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:26:05 0 6K
OTHERS
MAPEPO (MAJINI) NI NINI HASA?
SEHEMU YA KWANZA Somo:MAPEPO Lengo Kuu: Kujua mapepo na kazi zake. Lengo Mahsusi: Kujua namna ya...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 20:04:19 0 7K
DARASA LA 5
DARASA LA 5
Orodha ya masomo yote ya darasa la 5
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:16:22 0 5K
OTHERS
Toufik Alikuwa Mwislamu Lakini Alimwita Yesu, Leo Ameokolewa na Hajawahi Kujuta
Ufuatao ni ushuhuda wa Toufik, ambaye alikuwa ni Mwislamu lakini alikutana na injili ya Bwana...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:25:15 0 5K