EPUKA UONGO UKIENDELEA KUTENDA DHAMBI BAADA YA KUOKOKA, HUENDI MBINGUNI KAMWE / IF YOU CONTINUE TO SIN AFTER BEING SAVED, YOU WILL NOT GO TO HEAVEN

0
6KB

SWAHILI: Bwana Yesu (ambaye ni Mungu mkuu na mwokozi wetu, Tito 2:13)  asifiweeee! Lengo la mafundisho haya ni kuwaonya watu wasiiamini injili ya uongo, inayofundisha kuwa Mkristo aliyeokoka atakwenda Mbinguni, hata kama ataendelea kuishi maisha ya dhambi baada ya kuokoka. Ninakusihi fuatilia mfululizo wa masomo yaliyoorodheshwa hapo chini, na Roho Mtakatifu atazidi kukufundisha kweli yote, kama Kristo Yesu alivyoahidi katika Yohana 14:26.

ENGLISH: Praise the Lord Jesus (who is our great God and Savior, Titus 2:13)! The purpose of this teaching is to warn people not to believe the false gospel, which teaches that a saved Christian will go to Heaven, even if he/she continues to live a sinful life after being saved. I urge you to follow this series of lessons listed below, and the Holy Spirit will continue to teach you all the truth, as Christ Jesus promised in John 14:26.

  1. SOMO LA 1 / SUBJECT 1
    1. KISWAHILI: Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ukiokoka, umeokolewa milele.
    2. ENGLISH: Looking at the false doctrine of, once saved, always saved 
  2. SOMO LA 2 / SUBJECT 2
    1. KISWAHILI: Ukweli kuhusu haki ipatikanayo kwa imani
    2. ENGLISH: The truth about righteousness found in faith
  3. SOMO LA 3 / SUBJECT 3
    1. KISWAHILI: Epuka injili ya uongo (Audio iliyoahidiwa)

MUNGU AKUBARIKI SANA / MAY GOD BLESS YOU ABUNDANTLY

Love
1
Pesquisar
Categorias
Leia mais
JOB
Verse by verse explanation of Job 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 03:27:40 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
JINSI YA KULINDA MOYO WAKO
Mithali 4;23  "Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:42:56 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
YESU ALIMAANISHA NINI ALIPO SEMA MSIDHANI NALIKUJA KUTANGUA TORATI?
Baadhi ya watu wameshindwa kuelewa kuwa torati imeondolewa kwa sababu ya maneno ya Yesu aliposema...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 20:56:37 0 5KB
OTHERS
KUMBE QURAN IMEJAA SHAKA NA HAIPO WAZIWAZI
Je, madai ya kuwa Quran imekalika na ipo waziwazi ni ya kweli? Allah ateremsha aya na kudai kuwa,...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:34:25 0 5KB
EZRA
Verse by verse explanation of Ezra 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 25 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-02 06:11:27 0 6KB