EPUKA UONGO UKIENDELEA KUTENDA DHAMBI BAADA YA KUOKOKA, HUENDI MBINGUNI KAMWE / IF YOU CONTINUE TO SIN AFTER BEING SAVED, YOU WILL NOT GO TO HEAVEN

0
6KB

SWAHILI: Bwana Yesu (ambaye ni Mungu mkuu na mwokozi wetu, Tito 2:13)  asifiweeee! Lengo la mafundisho haya ni kuwaonya watu wasiiamini injili ya uongo, inayofundisha kuwa Mkristo aliyeokoka atakwenda Mbinguni, hata kama ataendelea kuishi maisha ya dhambi baada ya kuokoka. Ninakusihi fuatilia mfululizo wa masomo yaliyoorodheshwa hapo chini, na Roho Mtakatifu atazidi kukufundisha kweli yote, kama Kristo Yesu alivyoahidi katika Yohana 14:26.

ENGLISH: Praise the Lord Jesus (who is our great God and Savior, Titus 2:13)! The purpose of this teaching is to warn people not to believe the false gospel, which teaches that a saved Christian will go to Heaven, even if he/she continues to live a sinful life after being saved. I urge you to follow this series of lessons listed below, and the Holy Spirit will continue to teach you all the truth, as Christ Jesus promised in John 14:26.

  1. SOMO LA 1 / SUBJECT 1
    1. KISWAHILI: Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ukiokoka, umeokolewa milele.
    2. ENGLISH: Looking at the false doctrine of, once saved, always saved 
  2. SOMO LA 2 / SUBJECT 2
    1. KISWAHILI: Ukweli kuhusu haki ipatikanayo kwa imani
    2. ENGLISH: The truth about righteousness found in faith
  3. SOMO LA 3 / SUBJECT 3
    1. KISWAHILI: Epuka injili ya uongo (Audio iliyoahidiwa)

MUNGU AKUBARIKI SANA / MAY GOD BLESS YOU ABUNDANTLY

Love
1
Pesquisar
Categorias
Leia mais
Injili Ya Yesu Kristo
NINI MAANA YA MTU KUZIKWA NDANI YA KANISA? KATIKA NYUMBA YA IBADA?
Ukisoma katika kitabu cha Mathayo 22:32 inasema mimi ni MUNGU wa Ibrahim, na MUNGU Isaka, na...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-19 05:43:45 0 5KB
LEVITICUS
Verse by verse explanation of Leviticus 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 52 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-24 10:13:31 0 5KB
OTHERS
UONGO WA AYA ZA QURAN KUHUSU UKRISTO KUTOA DHABIHU YA WANYAMA
"Dhabihu" hufafanuliwa kama sadaka ya kitu cha thamani kwa ajili ya kusudi au sababu. Kufanya...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:03:08 0 5KB
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 28
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 62 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-24 15:19:45 0 6KB
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 1
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 44 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-26 03:10:53 0 6KB