EPUKA UONGO UKIENDELEA KUTENDA DHAMBI BAADA YA KUOKOKA, HUENDI MBINGUNI KAMWE / IF YOU CONTINUE TO SIN AFTER BEING SAVED, YOU WILL NOT GO TO HEAVEN

0
6KB

SWAHILI: Bwana Yesu (ambaye ni Mungu mkuu na mwokozi wetu, Tito 2:13)  asifiweeee! Lengo la mafundisho haya ni kuwaonya watu wasiiamini injili ya uongo, inayofundisha kuwa Mkristo aliyeokoka atakwenda Mbinguni, hata kama ataendelea kuishi maisha ya dhambi baada ya kuokoka. Ninakusihi fuatilia mfululizo wa masomo yaliyoorodheshwa hapo chini, na Roho Mtakatifu atazidi kukufundisha kweli yote, kama Kristo Yesu alivyoahidi katika Yohana 14:26.

ENGLISH: Praise the Lord Jesus (who is our great God and Savior, Titus 2:13)! The purpose of this teaching is to warn people not to believe the false gospel, which teaches that a saved Christian will go to Heaven, even if he/she continues to live a sinful life after being saved. I urge you to follow this series of lessons listed below, and the Holy Spirit will continue to teach you all the truth, as Christ Jesus promised in John 14:26.

  1. SOMO LA 1 / SUBJECT 1
    1. KISWAHILI: Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ukiokoka, umeokolewa milele.
    2. ENGLISH: Looking at the false doctrine of, once saved, always saved 
  2. SOMO LA 2 / SUBJECT 2
    1. KISWAHILI: Ukweli kuhusu haki ipatikanayo kwa imani
    2. ENGLISH: The truth about righteousness found in faith
  3. SOMO LA 3 / SUBJECT 3
    1. KISWAHILI: Epuka injili ya uongo (Audio iliyoahidiwa)

MUNGU AKUBARIKI SANA / MAY GOD BLESS YOU ABUNDANTLY

Love
1
Suche
Kategorien
Mehr lesen
GENESIS
Book of Genesis Explained
Genesis is the book of beginnings. It records the beginning of time, life, sin, salvation, the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-01-01 09:49:39 0 7KB
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 34
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:36:56 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Ndugu msomaji,Watu wengi hawafahamu kuhusu Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu Ni Nani?Baadhi ya watu...
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:21:47 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
FAHAMU KUHUSU JINA LA FARAO
Kwa ufupi… Bwana Yesu asifiwe… Je unafahamu nini kuhusu jina hili la farao? Basi...
Von GOSPEL PREACHER 2022-03-30 05:04:49 0 5KB
MAHUSIANO KIBIBLIA
BIBLIA NA MATULIZO YA MAPENZI
Kumekuwepo na kesi nyingi za wanandoa; kuvunjika kwa ndoa ni jambo la kawaida sana, watu...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-06 14:56:38 0 6KB