EPUKA UONGO UKIENDELEA KUTENDA DHAMBI BAADA YA KUOKOKA, HUENDI MBINGUNI KAMWE / IF YOU CONTINUE TO SIN AFTER BEING SAVED, YOU WILL NOT GO TO HEAVEN

0
6K

SWAHILI: Bwana Yesu (ambaye ni Mungu mkuu na mwokozi wetu, Tito 2:13)  asifiweeee! Lengo la mafundisho haya ni kuwaonya watu wasiiamini injili ya uongo, inayofundisha kuwa Mkristo aliyeokoka atakwenda Mbinguni, hata kama ataendelea kuishi maisha ya dhambi baada ya kuokoka. Ninakusihi fuatilia mfululizo wa masomo yaliyoorodheshwa hapo chini, na Roho Mtakatifu atazidi kukufundisha kweli yote, kama Kristo Yesu alivyoahidi katika Yohana 14:26.

ENGLISH: Praise the Lord Jesus (who is our great God and Savior, Titus 2:13)! The purpose of this teaching is to warn people not to believe the false gospel, which teaches that a saved Christian will go to Heaven, even if he/she continues to live a sinful life after being saved. I urge you to follow this series of lessons listed below, and the Holy Spirit will continue to teach you all the truth, as Christ Jesus promised in John 14:26.

  1. SOMO LA 1 / SUBJECT 1
    1. KISWAHILI: Tuliangalie fundisho la uongo kuwa ukiokoka, umeokolewa milele.
    2. ENGLISH: Looking at the false doctrine of, once saved, always saved 
  2. SOMO LA 2 / SUBJECT 2
    1. KISWAHILI: Ukweli kuhusu haki ipatikanayo kwa imani
    2. ENGLISH: The truth about righteousness found in faith
  3. SOMO LA 3 / SUBJECT 3
    1. KISWAHILI: Epuka injili ya uongo (Audio iliyoahidiwa)

MUNGU AKUBARIKI SANA / MAY GOD BLESS YOU ABUNDANTLY

Love
1
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
MASWALI & MAJIBU
Ni nani anayetawala dunia kati ya Mungu na shetani?
Swali linaendelea….Na kama ni Mungu anayetawala kwa nini kuna matukio ya kutisha kama...
Por GOSPEL PREACHER 2022-06-13 00:07:33 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
AMANI YA KRISTO IAMUE MIOYONI MWENU
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
Por GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:30:25 0 8K
SPIRITUAL EDUCATION
MUNGU HANA DINI
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi....
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:31:19 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
If Jesus is God, then who did He pray to?
This is a very common question and the answer is found in understanding...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:03:16 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
AINA SABA (7) ZA UNAFIKI, AMBAZO UNAPASWA UJIEPUSHE NAZO.
Maana inayojulikana ya Unafiki ni ile hali ya kutoa maneno, au kuonyesha hisia au vitendo kwa nje...
Por GOSPEL PREACHER 2022-02-26 19:43:17 0 10K