YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia

0
6K
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU. Hebu rejea kwenye hii aya: 

Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.

Kufuatana na aya hapo juu, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "KWELI" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.

Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.

Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.

Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu(Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.

Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
OTHERS
Unajimu na Kutafsiri Nyota
Je? Mungu anasema nini kuhusu wao wanao tafsiri nyota kuweza kujua jinsi maisha yao...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:22:20 0 5K
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
GFG
FDF
By GOSPEL PREACHER 2021-12-31 12:37:18 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
MAZINGIRA HATARAISHI YA KUEPUKA KATIKA KUFANYA KAZI NA ROHO MTAKATIFU
Roho Mtakatifu, kwa nafsi na nafasi yake ameletwa ili AKAE nasi...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:53:48 0 5K
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 32
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:25:30 0 6K
Religion
UKWELI KUHUSU DUNIA YETU.
Watu walio wengi wanajua dunia yetu ina umbo la sphere yaani ipo flattened kwa top, sio duara...
By UUMBAJI CREATION 2022-07-19 03:21:34 0 8K