YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia

0
6KB
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU. Hebu rejea kwenye hii aya: 

Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.

Kufuatana na aya hapo juu, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "KWELI" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.

Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.

Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.

Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu(Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.

Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
JOB
Verse by verse explanation of Job 37
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:19:38 0 6KB
Networking
How to communicate your marketplace value proposition
People's attention spans have become shorter. With the rapid growth in the number of online...
Par Business Academy 2022-09-17 03:45:17 0 10KB
SPIRITUAL EDUCATION
MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO.
MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO 
Par Martin Laizer 2023-10-07 09:24:32 1 17KB
JOB
Verse by verse explanation of Job 35
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:17:03 0 6KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 24
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:40:04 0 6KB