YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia

0
6KB
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU. Hebu rejea kwenye hii aya: 

Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.

Kufuatana na aya hapo juu, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "KWELI" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.

Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.

Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.

Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu(Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.

Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Pesquisar
Categorias
Leia mais
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI WIVU NI DHAMBI
Kwa nini wivu au husuda ni dhambi? (Wagalatia 5: 19-21.) Wakati wivu unapoibuka na unauacha uishi...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:35:34 0 5KB
OTHERS
KWANINI SULEIMAN ALIKUWA NA WAKE MIA SABA (700) NA MASURIA MIA TATU (300)?
Kwenye 1 WaFalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:03:13 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
MASWALI YA KITABU CHA MWANZO
MASWALI YA KITABU CHA MWANZO KWA WATOTO Nani alimwuzia mwenzake haki ya...
Por PROSPER HABONA 2024-01-07 04:56:40 0 3KB
ISAIAH
ISAIAH 19
Isaiah Chapter 19 Verses 1-10: The burden of Egypt is a message of both judgment and hope for...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-28 03:41:35 0 8KB
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 17
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 63 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-26 03:51:18 0 6KB