YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia

0
5K
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU. Hebu rejea kwenye hii aya: 

Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.

Kufuatana na aya hapo juu, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "KWELI" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.

Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.

Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.

Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu(Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.

Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Cerca
Categorie
Leggi tutto
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 3
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 36 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 10:45:16 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
The Holy Spirit Dwells Within
I want to speak to you this month on the Holy Spirit. Today it will be "The Holy Spirit Dwells...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 18:34:26 0 5K
OTHERS
Kwanini Mkristo anauhakika wa kwenda Paradiso zaidi ya Muislamu?
1. Je, Kurani inatoa uhakika kwa Waislamu? Kurani inatengeneza tu mazingira ya mashaka kuhusiana...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:26:41 0 4K
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 19 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-05-20 11:58:21 0 7K
MASWALI & MAJIBU
Kubatizwa kwa ajili ya wafu ndio kupi, kuonakozungumziwa katika 1 Wakoritho 15:29?
Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu ni wakina nani? Swali linaendelea… kulingana na huu...
By GOSPEL PREACHER 2022-06-12 23:32:15 0 5K