FAHAMU UWEZO WA DAMU YA YESU KRISTO

0
6KB

Ukweli ni kwamba katika damu ya Yesu Kristo kunapatikana zaidi ya mambo manne nitakayokushirikisha humu; lakini kwa sasa naona nianze na haya manne:-

  1. Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kuondoa dhambi. Imeandikwa katika kitabu cha 1Yohana 1:9 kuwa; “Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata ATUONDOLEE dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote”.

 

  1. Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kupatanisha. Imeandikwa katika kitabu cha Waefeso 2:13-16 kuwa; “Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. AKAWAPATANISHA wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba”

 

  1. Uzima wa Milele katika Damu ya Yesu Kristo. Imeandikwa katika kitabu cha Yohana 6:53-54 kuwa; “Basi Yesu akawaambia Amini, amini, nawaambieni, msipoula mwili wake mwana wa Adamu nakuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu. Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao UZIMA WA MILELE…..”

 

  1. Uwezo wa Damu ya Yesu Kristo katika kutulinda. Imeandikwa katika kitabu cha ufunuo wa Yohana 12:11a kuwa; “Nao wakamshinda (shetani) kwa damu ya mwana-Kondoo….” Mtihani mkubwa sana kwetu sisi wakristo ni kuyaweka katika matendo yale tunayofahamu katika Biblia. Nakushauri kwa Jina la Yesu Kristo kuwa uwe mtendaji wa neno, na usiwe msomaji tu. Ni maombi yangu kwa Bwana ya kuwa Roho wa ufahamu wa Bwana atakuwa juu yako unaposoma na ketenda neno lake.

 

Pesquisar
Categorias
Leia mais
Injili Ya Yesu Kristo
NAFASI YAKO NI MUHIMU SANA KATIKA KUUJENGA MWILI WA KRISTO
Biblia katika 1 Wakorinto 12:11-14,18 imeandikwa ‘Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:30:00 0 5KB
OTHERS
Je, Muhammad Ametabiriwa Kwenye Biblia?
SEHEMU YA KWANZA Waislamu wanashikilia kwamba Muhammad alitabiriwa kwenye Biblia. Andiko lao kuu...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:29:25 0 6KB
1 KINGS
The Book of 1 Kings Explained
Title: First and Second Kings were originally one book, called in the Hebrew text,...
Por THE HOLY BIBLE 2022-02-05 12:12:09 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
NYOTA YA MTU NA MAISHA ALIYONAYO
Na Mchungaji Josephat Gwajima   Utangulizi: Biblia imeeleza kuhusu nyota ya Yesu...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:30:51 0 9KB
Injili Ya Yesu Kristo
Ukijibu Kabla Haujasikia, Ni Upumbavu Na Aibu Kwako.
Maelezo ya Mithali 18:13 Yeye ajibuye kabla hajasikia,  Ni upumbavu na aibu kwake. Hekima...
Por GOSPEL PREACHER 2023-09-22 19:28:42 0 6KB