Je! Mkristo anaweza pagagwa na Mapepo?

0
5K
Bibilia kwa ukamilifu haitaji kama Mkristo anaweza shikwa na pepo. Ingagwa, kwa vile Mkristo amejazwa na Roho Mtakatifu (Warumi 8:9-11; 1 Wakorintho 3:16; 6:19), inaweza ooneka kinyume kwamba Roho Mtakatifu anaweza kumuruhus pepo kushika mtu ambaye Roho Mtakatifu anakaa ndani yake. Hii mara nyingine ni jambo la kutatanisha; ingawa, tunaamini sana kuwa Mkristo hawezi shikwa na pepo. Tunaamini kuwa kuna tofauti kubwa kati ya kushikwa na pepo na kukandamizwa na pepo au kushawishika na pepo. Kupagagwa na pepo yahuzisha,pepo kuwa na uhusika wa Karibu au kuongoza mawazo yako/mafikirio yako/matendo ya mtu (Luka 4:33-35; 8:27-33; Mathayo 17:14-18). Kukandamizwa na pepo au kushawishiwa na pepo inahuzisha pepo kumkabili mtu kiroho na kumtia moyo kwa matendo ya dhambi (1 Petero 5:8-0; Yakobo 4:7). Tambua kwamba kurasa zote za Agano Jipya zashugulikia vita vya kiroho, kamwe hatwambiwi kutoa pepo kutoka kwa mkristo (Waefeso 6:10-18). Wakristo wameambiwa kumtoroka shetani (1 Petero 5:8-9; Yakobo 4:7), si kutoa mapepo.

 
Ni jambo lisilofikirika kuwa Mungu anaweza kumruhus mwanawe, ambaye alimununua kwa dhamani, kwa damu ya Yesu Kristo (1 Petero 1:18-19), na kufanywa viumbe vipya (2 Wakorintho 5:17), kupagagwa na kutawaliwa na mapepo. Naam, mkristo twafanya vita na shetani na mapepo yake, lakini si kutoka ndani yetu. Mtume Yohana anasema, “Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mtungu; ninyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko aliye katika dunia” (1 Yohana 4:4). Ni nani aliye ndani yetu? Roho Mtakatifu. Ni nani aliye katika dunia? Ni shetani na mapepo yake. Kwa hivyo, mkristo ameushinda ulimwengu wa mapepo, na hali ya kupagagwa na pepo halitafanywa kuwa la kibilia.
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
ESTHER
Verse by verse explanation of Esther 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 7 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 13:06:33 0 6K
OTHERS
JE, MBINGU YA YEHOVA NI SAWA NA PEPO YA ALLAH?
MBINGU YA YEHOVA: Luka 20:34-36Yesu akawaambia wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa, lakini,...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:30:25 0 5K
ESTHER
ESTA SURA YA 5, 6 & 7
Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO litukuzwe. Huu ni mwendelezo wa kitabu cha Esta. Katika...
By GOSPEL PREACHER 2022-01-20 02:51:54 0 6K
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 5
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 42 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-04 23:02:55 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
FUND FUND
Verses 1:1 – 2:3: This description of God creating heaven and earth is understood to be:...
By PROSHABO NETWORK 2021-10-07 12:42:01 0 5K