ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE

0
5KB

JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3

  1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..

Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….

Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo. 

Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?

Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …

Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.

Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.

Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.

Rechercher
Catégories
Lire la suite
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?
Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa: MFANO WA KWANZAYesu alipomponya mtu ambaye alikuwa hawezi kwa...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 20:57:27 0 5KB
1 KINGS
Verse by verse explanation of 1 Kings 6
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Par THE HOLY BIBLE 2022-02-05 12:43:24 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
UBATIZO WA MAJI MENGI.
Na Mch.Madumla ( wa katikati mbele) Bwana Yesu asifiwe… Kwa ufupi; Miaka fulani nilipata...
Par GOSPEL PREACHER 2022-03-29 23:44:15 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
HAWA NI WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUPATWA NA SHIDA
1. JOHN LENNON (MUIMBAJI) Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American...
Par GOSPEL PREACHER 2022-02-21 22:11:40 0 5KB
Religion
EPUKA MAVAZI YA KIKAHABA
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-08 10:23:04 0 15KB