ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE

0
5KB

JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3

  1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..

Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….

Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo. 

Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?

Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …

Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.

Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.

Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.

Rechercher
Catégories
Lire la suite
MAHUSIANO KIBIBLIA
MWANAMKE NA MWANAUME NA MAHUSIANO: TOFAUTI YA KIMAUMBILE
Sote tunajua kabisa ya kwamba kuna tofauti ya kimaumbile kati ya mwanaume na mwanamke, na tofauti...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:11:12 0 5KB
OTHERS
ABOUT BISHOP ZACHARY KAKOBE ( HISTORY)
Bishop Zachary Kakobe is the International Revivalist, and Founder of Bishop Zachary Kakobe...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:53:13 0 11KB
MASWALI & MAJIBU
Sabato Halisi Ni Lini, Je! Ni Jumapili Au Jumamosi?, Ni Siku Gani Itupasayo Kuabudu?
JIBU: Neno la Mungu linasema Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa wamwabudu katika roho na...
Par GOSPEL PREACHER 2022-06-13 08:33:45 0 5KB
OTHERS
KUTEKWA NYARA!! USHUHUDA WA KUSISIMUA
“Nilikamatwa na kuteswa na polisi wa Misri kwa kuhoji imani yangu katika...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:35:20 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
HAZINA ILIYOSITIRIKA NA MFANYABIASHARA
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Mkuu Zachary Kakobe      ...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 01:43:14 0 5KB