ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE

0
5KB

JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3

  1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..

Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….

Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo. 

Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?

Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …

Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.

Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.

Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.

Pesquisar
Categorias
Leia mais
Injili Ya Yesu Kristo
MBINGUNI, PEPONI, KUZIMU NA JEHANNAM NI WAPI?
Mpendwa mmoja aliniuliza maswali yafuatayo ambayo nimeona ni muhimu niyajibu kama Makala fupi kwa...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-25 11:56:58 0 7KB
PSALMS
Verse by verse explanation of Psalm 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 19 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-05-20 11:57:31 0 8KB
SPIRITUAL EDUCATION
NGURUMO SABA
Katika kufunguliwa kwa mihuri saba, kwenye kile kitabu cha ufunuo, tunaona kuwa muhuri wa saba...
Por GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:00:50 0 5KB
Injili Ya Yesu Kristo
Ni nani atakayewashitaki wateule
Warumi 8:31-33 “Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani aliye juu...
Por GOSPEL PREACHER 2022-03-31 14:52:58 0 7KB
URAFIKI KIBIBLIA
ATHARI ZA NGONO NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO NA KUSHINDA
Kama kuna jambo ambalo wengi wetu hatulijui au tu hatujalitilia maanani ni athari zitokanazo na...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:48:01 0 9KB