Je, Mkristo anapaswa kufanya nini kama yeye ameolewa na asiyeamini?

0
5KB
Kuoleka na kafiri inaweza kuwa mojawapo ya changamoto ngumu sana katika maisha ya Mkristo. Ndoa ni agano takatifu ambalo linaunganisha watu wawili pamoja katika mwili mmoja (Mathayo 19:5). Inaweza kuwa vigumu sana kwa muumini na kafiri kuishi kwa amani na umoja (2 Wakorintho 6:14-15). Kama mpenzi mmoja anakuwa Mkristo baada ya ndoa, mapambano asili ya kuishi chini ya mamlaka aina mbili tofauti huwa huwa dhahiri.
 
Mara nyingi Wakristo katika hali hii hutafuta njia ya kujinazua kutoka kwa ndoa, wakiamini kwamba hii ndio njia pekee ya kweli ambayo italeta utukufu kwa Mungu. Neno lake, hata hivyo, linasema kinyume chake. Ni muhimu sana kutoridhika na hali yetu pekee, bali pia kutafuta njia ya kuleta utukufu kwake mbali na changamoto zetu (1 Wakorintho 7:17). Biblia hasa inahusu wale ambao wameolewa na wasioamini katika 1 Wakorintho 7:12-14: "... iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asiwmeache. Na mwanamke ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe. Kwa maana Yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na Yule mke asiyeamini hutakswa katika mumewe; kama asiengekuwa hivyo, watot wenu wengekuwa si safi..."
 
Wakristo ambao wameoleka kwa wasioamini wanahitaji kuomba kwa ajili ya nguvu za Roho Mtakatifu ili kuwawezesha kukiri Kristo na kuishi katika mwanga wa uwepo wa Mungu (1 Yohana 1:7). Wanapaswa kutafuta nguvu za Mungu za ubadilisho kubadili nyoyo zao na kuzaa matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:22-23). Mke Mkristo ana wajibu wa kuwa na moyo mtiifu, hata kwa mume wake ambaye si mkristo (1 Petro 3:01), na atahitaji kubaki karibu na Mungu na kutegemea neema yake kumwezesha kufanya hivyo.
 
Wakristo hawastahili kuishi maisha ya upweke wanahitaji kupata msaada kutoka kwingine kama vile kanisa na makundi ya kujifunza Biblia. Kuolewa na kafiri haina haibadilishi utakatifu wa uhusiano, hivyo ni lazima iwe kipaumbele cha kila Mkristo kuomba kwa ajili ya mke wake na kuweka mfano mzuri, kuruhusu mwanga wa Kristo kuangaza (Wafilipi 2:14). Bu na ukweli ulio katika 1 Petro 3:1-kwamba mwanandoa asiyeamini "amevutwa kwa Kristo"n iwe tumaini na lengo la kila Mkristo ambaye ameoleka kwa mtu asiye Mkristo.
Suche
Kategorien
Mehr lesen
Injili Ya Yesu Kristo
JAMBO LA MSINGI KUZINGATIA KWA WAIMBAJI / VIONGOZI WA SIFA
Ni ujumbe muhimu kwa kila Muimbaji kusoma’ Zaburi 150:1 “Haleluya, Msifuni Mungu...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:38:12 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
NGURUMO SABA
Katika kufunguliwa kwa mihuri saba, kwenye kile kitabu cha ufunuo, tunaona kuwa muhuri wa saba...
Von GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:00:50 0 5KB
NDOA KIBIBLIA
MAMBO SITA MUHIMU KATIKA MAHUSIANO YA UCHUMBA NA NDOA
KWELI KUU: Ndoa nzuri ni matokeo ya kuoa au kuolewa na mtu sahihi pasipo kuacha kufuata...
Von GOSPEL PREACHER 2021-11-08 00:09:00 0 6KB
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 9
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Von THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:11:52 0 5KB
SPIRITUAL EDUCATION
MUNGU HANA DINI
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi....
Von MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:31:19 0 6KB