WAKRISTO JIEPUSHENI NA SALAAM MNAYOSALIMIWA NA WAISLAMU

0
5KB
Imekuwa ni desturi kuwasikia, au kumsikia Muislamu, akimsalimia Mkristo, Sam aleykum (سم عليكم) Kwa Mkristo ambae hajui kitu, huitikia kwa haraka, Wa'alaykum Ssalaam, matumaini yake yote ni kuwa, amepewa salamu, ambayo waislamu wote husalimiana,
 
Yaani السلام عليكم (ASsalaam aleykum) Wakimaanisha, Amani ya Allah iwe juu yenu...
Mkristo mwenzangu, tambua kuwa, Muislamu abadani akijua wewe ni Mkristo, hawezi kukusalimia السلام عليكم (ASsalaam Aleykum) yaani kukutakia amani ya mungu, muabudiwa na waislamu, bali yeye muislamu humsalimia Mkristo kwa kusema:-
 
Sam Aleykum (سم عليكم) yaani akiwa na maana kwa kiswahili, "Mauti iwe juu yenu" hiyo ni kwa wengi, kama ni Mkristo mmoja basi husalimiwa kwa kuambiwa:-
 
Sam Alaika (سم عليك) Maana yake, "Umauti uwe juu yako" Sasa hapo Mkristo pasina kujua anaitikia kwa uchangamfu, akidhani anapewa Salaa nzuri, kumbe anatakiwa mauti
(Hastahili kuishi)...
 
Kwa hivyo kuanzia Leo, unaposalimiwa na muislamu, Sam aleykum, basi mjibu tu kwa kumwambia:-
Wa alyekum Faqatu (عليكم فقة) Umauti huo umrudie yeye mwenyewe, na hata kama atakutakia Amani halisi ambayo wao hutakiana السلام عليكم Yaani amani ya Allah iwe juu yenu/yako, usimrudishie, maana amani watoayo waislamu (Ulimwengu) ni tofauti na Amani aliyoitoa Yesu kwa wanafunzi wake aliposema.
سلام لكم (Salaamu'n Lakum) Maana yake Amani iwe kwenu
 
Hapo kuna utofauti wa amani (سلام) hiyo ya Yesu na hiyo (سلام) amani waitoayo Waislamu... maana Yesu amesema.
 
"Amani yangu nawapeni, amani yangu nawaacheni, niwapavyo mimi, sivyo kama Ulimwengu utoavyo" (Yohana 14:27)
 
Kwa hivyo JIHADHARI sana na salaam zao.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
MAHUSIANO KIBIBLIA
MWANAMKE NA NGUVU YA USHAWISHI (UBEMBELEZI)
Mwanamke aliumbwa na nguvu ya ushawishi ndani yake kwa kusudi la kuweza kutimiliza jukumu lake...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-07 23:52:21 0 7KB
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI IMANI YA MWANAMKE MKANANAYO ILIONEKANA KUWA KUBWA?
Nakusalimu kwa jina la Bwana, amani na iwe kwako. Katika Mathayo 15:21-28 maandiko...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:17:48 0 5KB
HOLY BIBLE
What did Jesus come to do?
To reveal the Father (Matt. 11:27) "All things have been committed to me by my Father. No...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 05:54:43 0 6KB
Injili Ya Yesu Kristo
KIUMBE ASIYE KUWA WA ASILI
Neno la Uzima kutoka kwa  Askofu Zachary Kakobe        ...
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:39:37 0 6KB
Religion
USHUHUDA WA MAONO YA JEHANAMU NA YERUSALEMU MPYA WA NYISAKI CHAULA
  UTANGULIZI: Sura ya 1: Kuitwa Sura ya 2: Jehanamu sehemu ya kwanza na Mangojeo ya Wafu....
Par GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:21:26 0 6KB