WAKRISTO JIEPUSHENI NA SALAAM MNAYOSALIMIWA NA WAISLAMU

0
5K
Imekuwa ni desturi kuwasikia, au kumsikia Muislamu, akimsalimia Mkristo, Sam aleykum (سم عليكم) Kwa Mkristo ambae hajui kitu, huitikia kwa haraka, Wa'alaykum Ssalaam, matumaini yake yote ni kuwa, amepewa salamu, ambayo waislamu wote husalimiana,
 
Yaani السلام عليكم (ASsalaam aleykum) Wakimaanisha, Amani ya Allah iwe juu yenu...
Mkristo mwenzangu, tambua kuwa, Muislamu abadani akijua wewe ni Mkristo, hawezi kukusalimia السلام عليكم (ASsalaam Aleykum) yaani kukutakia amani ya mungu, muabudiwa na waislamu, bali yeye muislamu humsalimia Mkristo kwa kusema:-
 
Sam Aleykum (سم عليكم) yaani akiwa na maana kwa kiswahili, "Mauti iwe juu yenu" hiyo ni kwa wengi, kama ni Mkristo mmoja basi husalimiwa kwa kuambiwa:-
 
Sam Alaika (سم عليك) Maana yake, "Umauti uwe juu yako" Sasa hapo Mkristo pasina kujua anaitikia kwa uchangamfu, akidhani anapewa Salaa nzuri, kumbe anatakiwa mauti
(Hastahili kuishi)...
 
Kwa hivyo kuanzia Leo, unaposalimiwa na muislamu, Sam aleykum, basi mjibu tu kwa kumwambia:-
Wa alyekum Faqatu (عليكم فقة) Umauti huo umrudie yeye mwenyewe, na hata kama atakutakia Amani halisi ambayo wao hutakiana السلام عليكم Yaani amani ya Allah iwe juu yenu/yako, usimrudishie, maana amani watoayo waislamu (Ulimwengu) ni tofauti na Amani aliyoitoa Yesu kwa wanafunzi wake aliposema.
سلام لكم (Salaamu'n Lakum) Maana yake Amani iwe kwenu
 
Hapo kuna utofauti wa amani (سلام) hiyo ya Yesu na hiyo (سلام) amani waitoayo Waislamu... maana Yesu amesema.
 
"Amani yangu nawapeni, amani yangu nawaacheni, niwapavyo mimi, sivyo kama Ulimwengu utoavyo" (Yohana 14:27)
 
Kwa hivyo JIHADHARI sana na salaam zao.
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
FORM 1
CHEMISTRY : FORM 1
List of all topics in Chemistry for form 1 class: CLICK HERE TO DOWNLOAD. THE CONCEPT OF...
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-30 06:21:30 0 6K
LEVITICUS
Verse by verse explanation of Leviticus 21
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 10:27:13 0 5K
OTHERS
USHUHUDA: MWANASHERIA MKUU WA SHERIA ZA KIISLAM WA IRAKI AMPOKEA YESU
KUTOKA: KWENYE GIZA LA UDANGANYIFU WA KIISLAMU HADI: KWENYE NURU YA UTUKUFU WA YESU Ushuhuda wa...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:10:49 0 5K
NDOA KIBIBLIA
NDOA YA MKE MMOJA NA MUME MMOJA NI AGIZO NA NI SHERIA YA MUNGU
UTANGULIZI:Kumekuwepo na mkanganyiko mkubwa katika swala la ndoa kati ya ndoa ya mke...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-08 00:04:02 0 7K
2 KINGS
Verse by verse explanation of 2 Kings 25
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-03-19 21:11:52 0 6K