WAKRISTO JIEPUSHENI NA SALAAM MNAYOSALIMIWA NA WAISLAMU

0
5كيلو بايت
Imekuwa ni desturi kuwasikia, au kumsikia Muislamu, akimsalimia Mkristo, Sam aleykum (سم عليكم) Kwa Mkristo ambae hajui kitu, huitikia kwa haraka, Wa'alaykum Ssalaam, matumaini yake yote ni kuwa, amepewa salamu, ambayo waislamu wote husalimiana,
 
Yaani السلام عليكم (ASsalaam aleykum) Wakimaanisha, Amani ya Allah iwe juu yenu...
Mkristo mwenzangu, tambua kuwa, Muislamu abadani akijua wewe ni Mkristo, hawezi kukusalimia السلام عليكم (ASsalaam Aleykum) yaani kukutakia amani ya mungu, muabudiwa na waislamu, bali yeye muislamu humsalimia Mkristo kwa kusema:-
 
Sam Aleykum (سم عليكم) yaani akiwa na maana kwa kiswahili, "Mauti iwe juu yenu" hiyo ni kwa wengi, kama ni Mkristo mmoja basi husalimiwa kwa kuambiwa:-
 
Sam Alaika (سم عليك) Maana yake, "Umauti uwe juu yako" Sasa hapo Mkristo pasina kujua anaitikia kwa uchangamfu, akidhani anapewa Salaa nzuri, kumbe anatakiwa mauti
(Hastahili kuishi)...
 
Kwa hivyo kuanzia Leo, unaposalimiwa na muislamu, Sam aleykum, basi mjibu tu kwa kumwambia:-
Wa alyekum Faqatu (عليكم فقة) Umauti huo umrudie yeye mwenyewe, na hata kama atakutakia Amani halisi ambayo wao hutakiana السلام عليكم Yaani amani ya Allah iwe juu yenu/yako, usimrudishie, maana amani watoayo waislamu (Ulimwengu) ni tofauti na Amani aliyoitoa Yesu kwa wanafunzi wake aliposema.
سلام لكم (Salaamu'n Lakum) Maana yake Amani iwe kwenu
 
Hapo kuna utofauti wa amani (سلام) hiyo ya Yesu na hiyo (سلام) amani waitoayo Waislamu... maana Yesu amesema.
 
"Amani yangu nawapeni, amani yangu nawaacheni, niwapavyo mimi, sivyo kama Ulimwengu utoavyo" (Yohana 14:27)
 
Kwa hivyo JIHADHARI sana na salaam zao.
البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
FORM 1
PHYSICS : FORM 1
List of all topics in Physics for the form 1 class: CLICK HERE TO DOWNLOAD. INTRODUCTION TO...
بواسطة PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-31 17:24:56 0 7كيلو بايت
SPIRITUAL EDUCATION
THE SPIRIT OF TRUTH
John 14:16-17 is written “And I will ask the Father, and He will give you another...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:33:12 0 5كيلو بايت
OTHERS
KAMA YESU ALIKUWA NI MUNGU, JE ALIKUWA ANAMWOMBA NANI?
Swali la Yesu ni Mungu na nani alikuwa anamwomba, huwa linaleta utatanishi mkubwa sana na kama...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 03:39:43 0 5كيلو بايت
OTHERS
Maana Ya Namba 40.
Ndugu msomaji wangu Hivi karibuni nimepokea Maswali kadhaa kutoka kwa watu mbalimbali wakiuliza...
بواسطة GOSPEL PREACHER 2022-04-01 15:44:49 0 6كيلو بايت
ESTHER
Book of Esther Explained
Book of Esther “Title”: Esther serves as the title without variation through the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-04-02 12:40:40 0 7كيلو بايت