0 التعليقات
0 المشاركات
7كيلو بايت مشاهدة
0 معاينة
البحث
إكتشاف أشخاص جدد وإنشاء اتصالات جديدة وصداقات جديدة
-
الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
-
Bible Verses that say “Jesus is God”Some people claim to believe that Jesus was a “good prophet”, but they deny that Jesus is God. If that is you, I would like to encourage you to consider some of these Bible verses: Matthew 1:23 - “Behold, the virgin shall be with child, and bear a Son, and they shall call His name Immanuel,” which is translated, “God with us.” Isaiah 9:6 - For unto...0 التعليقات 0 المشاركات 6كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
Bwana Aliposema Kuwa Yeye Ni “Mungu Wa Miungu” Alikuwa Na Maana Gani?..Je! Yeye Ni Mungu Wa Sanamu?JIBU: Tukisoma Kumbukumbu 10:17 inasema… “Kwa maana Bwana, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa”. Hapa tunaona Mungu anajitambulisha yeye kama “Mungu wa miungu” sasa swali hawa miungu ni wakina nani?. Bwana Yesu alisema mahali fulani katika...0 التعليقات 0 المشاركات 6كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
BWANA YUAJA TUWE TAYARIBWANA YUAJA TUWENI TAYARI0 التعليقات 0 المشاركات 4كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
FURAHA YA BWANA NI NGUVU ZAKO.Mpendwa wangu nina kusalimu katika Jina lipitalo majina yote, Yesu Kristo Mwana wa Mungu Aliye Hai. Bwana Yesu asifiwe sana. Kabla sijasema na wewe kuhusu somo hili nyeti ambalo ninaamini litazungumza na maisha yako moja kwa moja nianze kwanza kwa kuweka andiko la muhimu sana hapa kama andiko la msingi: II Korintho 2: 11. 11. Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana...
-
KILA ATAKAYELIITIA JINA LA BWANA ATAOKOKA.Kwa ufupi.. Bwana Yesu asifiwe… `` Kwa kuwa,kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka” Warumi 10:13 Ukihitaji kuokoka huna budi kilihitaji Jina la Bwana. Nabii Yoeli anasema,mtu yeyote atakayeliitia Jina la Bwana “ataponywa” Kumbe huna budi kushuka kwa Bwana kwa habari ya uponyaji na kuokoka kwako. Tunaposema “ kuliitia Jina la Bwana” tunamaana ya...0 التعليقات 0 المشاركات 5كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
KWANINI MUHAMMAD ALITAKA KUJINYONGA “COMMIT SUICIDE”?1. MUHAMMAD ALITAKATA KUJINYONGA2. MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJIRUSHA ILI AFE3. AISHA ASEMA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA Ndugu msomaji, Tunaposoma Biblia tunajifunza kuwa Mungu aliwapa Unabii na Utume watu wake kwa njia ya upendo. Lakini nilipo soma vitabu vya Allah nilikutana na mambo ya ajabu sana. Bila ya kupoteza muda, ngoja niweke vitabu vyake ili na wewe ujisomee...0 التعليقات 0 المشاركات 5كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
LEO TUTAMTAZAMA BWANA YESU NA MUHAMAD NI NANI MWENYE MATUMAINI YENYE UHAKIKA KATI YAOTutapitia kauli zao walizozisema wakiwa Duniani, na kila mmoja atahukumu ni yupi mbora wa kufwata kati ya Bwana Yesu na Muhamad.BWANA YESU ANASEMAYohana 8:12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata...0 التعليقات 0 المشاركات 5كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO.MAVAZI YA KIKAHABA NI MACHUKIZO KWA BWANA MUNGU WAKO
-
Mungu Alikuwa Anaongea Na Nani Aliposema Na “Tumfanye Mtu Kwa Mfano Wetu”,(Mwanzo 1:26)?Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi JIBU: Mara nyingi Mungu alikuwa anatumia neno “sisi” kama wingi kuashiria kuwa hakufanya mambo yote peke yake, bali alikuwa na wengine aliowashirikisha mawazo yake, Kumbuka...0 التعليقات 0 المشاركات 5كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
*Nini maana ya usijiongezee hekima mno? (Mhubiri 7:16b)* Swali: Kwanini biblia ikataze kujiongezea hekima*Nini maana ya usijiongezee hekima mno? (Mhubiri 7:16b)* Swali: Kwanini biblia ikataze kujiongezea hekima2 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
*KUSUDI LA MIMI KUWEPO DUNIANI NI LIPI?**KUSUDI LA MIMI KUWEPO DUNIANI NI LIPI?*0 التعليقات 0 المشاركات 10كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
AGANO LA AMANI ISAYA 54:10,EZEKIEL 34:25PASIPO AGONO LA AMANI YA KRISTO HAPANA MAFANIKIO
-
AINA ZA MAGONJWAAINA ZA MAGONJWA NA DAWA YAKE
-
BINTI YA KUHANI YE YOTE ATAKAPOJITIA UNAJISI KWA UKAHABABINTI YA KUHANI YE YOTE ATAKAPOJITIA UNAJISI KWA UKAHABA0 التعليقات 0 المشاركات 6كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
-
FURAHI KATIKA DHIKI UKIWA UJAA ROHO MTAKATIFU.Kwa imani yetuFURAHI KATIKA DHIKI UKIWA UJAA ROHO MTAKATIFU.Kwa imani yetu
-
HAZINA YA MTUPALIPO NA HAZINA YA MTU NDIPO NA MOYO WAKE UTAKAPOKUWA
-
INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA* .INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA* .
-
JE! NI HAKI WATAKATIFU WALIOKUFA KUTUOMBEA SISI WATAKATIFU TULIO DUNIANI?JE NI HAKI WATAKATIFU WALIOKUFA KUTUOMBEA SISI WATAKATIFU TULIO DUNIANI?3 التعليقات 0 المشاركات 6كيلو بايت مشاهدة 0 معاينة
الصفحات المعززة
إعلان مُمول
[Repenting + Holiness = Entering Heaven / Kutubu + Utakatifu = Kuingia Mbinguni].