MAPISHI MBALIMBALI
BIRIANI
VITU VINAVYOHITAJIKA:-
Mafuta ya kula
Nyama kilo 1
Vitunguu maji kilo 1
Viazi mviringo nusu kilo (1/2kg)
Vitunguu saumu robo kilo (1/ kg) gawa mara 2
Tangawizi kipande kimoja (1) kikubwa
Maziwa mtindi paketi 1 ndogo
Papai kipande kimoja 1 kidogo, na kiwe kimeiva kiasi kisiive sana
Nyanya nusu kilo (1/2 kg)
Ndimu robo (1/4) kikombe (ya kukamua)
Nanaa kifungu kimoja (1)
Kotimiri kifungu kimoja (1)
Mchele kilo (1)
Pili-pili mtama ya kusaga nusu kijiko (1/2)
Mdalasini masala kijiko...
Статьи пользователей
Больше
Verse by verse explanation of Exodus 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 67 questions at the...
FORM 6
List of all subjects for the form 6 class
ACCOUNTANCY
ADVANCED MATHEMATICS
AGRICULTURE
BASIC...
JEHANNAM NI NYUMBA YA MILELE YA WAISLAM
JEHANAMU IPO NA INASUBIRI WATENDA DHAMBI
Huko motoni Jehanum kukoje? Mwanangu, kunatisha,...
Ubatizo wa Rohoho Mtakatifu ni nini?
Ubatizo wa Roho mtakatifu unaweza kufafanuliwa/kuelezwa kuwa ile kazi ambayo Roho Mtakatifu wa...
Malaika Waliofanya Dhambi
Biblia inafundisha kwamba Mungu ni Roho na kwamba viumbe wake wa kwanza walikuwa roho. (Yohana...