MAPISHI MBALIMBALI
BIRIANI
VITU VINAVYOHITAJIKA:-
Mafuta ya kula
Nyama kilo 1
Vitunguu maji kilo 1
Viazi mviringo nusu kilo (1/2kg)
Vitunguu saumu robo kilo (1/ kg) gawa mara 2
Tangawizi kipande kimoja (1) kikubwa
Maziwa mtindi paketi 1 ndogo
Papai kipande kimoja 1 kidogo, na kiwe kimeiva kiasi kisiive sana
Nyanya nusu kilo (1/2 kg)
Ndimu robo (1/4) kikombe (ya kukamua)
Nanaa kifungu kimoja (1)
Kotimiri kifungu kimoja (1)
Mchele kilo (1)
Pili-pili mtama ya kusaga nusu kijiko (1/2)
Mdalasini masala kijiko...
Blogs
Leia mais
Verse by verse explanation of 2 Samuel 17
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Verse by verse explanation of Deuteronomy 15
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
Sadaka inayomgusa Mungu
Nianze kwa kuwashukuru na kuwapongeza wasomaji wa makala hii, najua kuna faida nyingi za kiroho,...
Toufik Alikuwa Mwislamu Lakini Alimwita Yesu, Leo Ameokolewa na Hajawahi Kujuta
Ufuatao ni ushuhuda wa Toufik, ambaye alikuwa ni Mwislamu lakini alikutana na injili ya Bwana...
HATARI YA KUPENDA NAFSI
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...