UTATA NDANI YA KORAN: NINI KITAKUWA CHAKULA CHA WATU JEHANNAM

0
5K
Leo Allah ameamua kutueleza kuwa, watu watakuwa wanakula nini huko Jehannam. Soma aya hapa chini:

Quran 88:6. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba. 

Quran 69: 36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni. 


Sasa angalia UTATA UNAPO INGIA: Quran 39: 62-69

62. Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum? ***63. Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu. ***64. Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu. ***65. Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani. ***66. Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo. ***67. Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka. ***68. Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu. ***

Ndugu zanguni, Koran ni kitabu cha ajabu sana, maana kinapingana kila sehemu.  Leo tumesoma nini watu watakula Jehannam. Hivyo, kuhusu mada hii moja peke yake, Qur'ani ina utata tatu:

"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu Dhari" (88:6).
"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).
"Kula tu Dhari" (88:6) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).

Koran imejaa UATATA na si kitabu cha Mwenyezi Mungu.

Mungu awabariki sana,
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
REVELATION
UFUNUO 5
Shalom! Karibu katika mwendelezo mfupi wa uchambuzi wa kitabu cha ufunuo, kwa neema za Mungu...
By GOSPEL PREACHER 2021-10-30 09:41:30 0 5K
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 50
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 23 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-21 10:16:18 0 6K
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 8
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:28:26 0 5K
OTHERS
Isaac (Christian) or Ishmael (Islam)
Bible = Genesis 17:18,19 “And Abraham said unto God, O that Ishmael might live before thee!...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 06:23:35 0 5K
NDOA KIBIBLIA
NDOA YA MKE MMOJA NA MUME MMOJA NI AGIZO NA NI SHERIA YA MUNGU
UTANGULIZI:Kumekuwepo na mkanganyiko mkubwa katika swala la ndoa kati ya ndoa ya mke...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-08 00:04:02 0 7K