UTATA NDANI YA KORAN: NINI KITAKUWA CHAKULA CHA WATU JEHANNAM

0
5χλμ.
Leo Allah ameamua kutueleza kuwa, watu watakuwa wanakula nini huko Jehannam. Soma aya hapa chini:

Quran 88:6. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba. 

Quran 69: 36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni. 


Sasa angalia UTATA UNAPO INGIA: Quran 39: 62-69

62. Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum? ***63. Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu. ***64. Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu. ***65. Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani. ***66. Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo. ***67. Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka. ***68. Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu. ***

Ndugu zanguni, Koran ni kitabu cha ajabu sana, maana kinapingana kila sehemu.  Leo tumesoma nini watu watakula Jehannam. Hivyo, kuhusu mada hii moja peke yake, Qur'ani ina utata tatu:

"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu Dhari" (88:6).
"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).
"Kula tu Dhari" (88:6) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).

Koran imejaa UATATA na si kitabu cha Mwenyezi Mungu.

Mungu awabariki sana,
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
Injili Ya Yesu Kristo
Je Yesu alienda kuzumuni kati ya kifo chake na kufufuka?
Kuna kuchanganyikiwa kwingi kuhusu swali hili. Mwelekeo watoka kwa mafunzo ya mitume kumi na...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:40:44 0 5χλμ.
JOB
Verse by verse explanation of Job 33
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:10:25 0 6χλμ.
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 18
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:59:29 0 5χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
NAMNA YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA ROHO MTAKATIFU.
Yohana 14:16-17. Biblia inasema “ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:59:31 0 5χλμ.
GENESIS
Verse by verse explanation of Genesis 42
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 28 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-21 09:28:34 0 6χλμ.