Leo Allah ameamua kutueleza kuwa, watu watakuwa wanakula nini huko Jehannam. Soma aya hapa chini:
Quran 88:6. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
Quran 69: 36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
Sasa angalia UTATA UNAPO INGIA: Quran 39: 62-69
62. Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum? ***63. Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu. ***64. Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu. ***65. Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani. ***66. Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo. ***67. Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka. ***68. Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu. ***
Ndugu zanguni, Koran ni kitabu cha ajabu sana, maana kinapingana kila sehemu. Leo tumesoma nini watu watakula Jehannam. Hivyo, kuhusu mada hii moja peke yake, Qur'ani ina utata tatu:
"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu Dhari" (88:6).
"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).
"Kula tu Dhari" (88:6) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).
Koran imejaa UATATA na si kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Mungu awabariki sana,
Pesquisar
Categorias
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Leia mais
Biblia inasema nini juu ya kunywa pombe? Je, ni dhambi kwa mkristo kunywa pombe?
Maandiko yana ilani nyingi juu ya kunywa kileo (mambo ya walawi 10:9; hesabu6:3; kumbukumbu la...
DANIELI 5
KUANGUKA KWA BABELI:
Tukisoma katika Historia na kwenye biblia tunapata picha jinsi mji wa...
Verse by verse explanation of Exodus 28
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 66 questions at the...
HAKUNA MTU ALIYEMWONA MUNGU
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...
KUWEKWA HURU KUTOKA DHAMBI YA UZINZI NA UASHERATI
Jambo la kwanza ninamshukuru Mungu kwa neema yake aliyonipa kufundisha neno lake. Ndungu mpendwa...