UTATA NDANI YA KORAN: NINI KITAKUWA CHAKULA CHA WATU JEHANNAM

0
5K
Leo Allah ameamua kutueleza kuwa, watu watakuwa wanakula nini huko Jehannam. Soma aya hapa chini:

Quran 88:6. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba. 

Quran 69: 36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni. 


Sasa angalia UTATA UNAPO INGIA: Quran 39: 62-69

62. Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum? ***63. Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu. ***64. Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu. ***65. Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani. ***66. Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo. ***67. Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka. ***68. Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu. ***

Ndugu zanguni, Koran ni kitabu cha ajabu sana, maana kinapingana kila sehemu.  Leo tumesoma nini watu watakula Jehannam. Hivyo, kuhusu mada hii moja peke yake, Qur'ani ina utata tatu:

"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu Dhari" (88:6).
"Kula matunda ya mti wa Zaqqum" (37:66) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).
"Kula tu Dhari" (88:6) inapingana na "kula tu pus mchafu" (69:36).

Koran imejaa UATATA na si kitabu cha Mwenyezi Mungu.

Mungu awabariki sana,
Search
Categories
Read More
LEVITICUS
Verse by verse explanation of Leviticus 1
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 103 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-24 08:43:27 0 5K
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 36
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 02:39:04 0 6K
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 27
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 23 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-26 04:26:05 0 6K
FORM 3
FORM 3
List of all subjects for the form 3 class AGRICULTURE BASIC MATHEMETICS BIOLOGY BOOK-KEEPING...
By PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-09 10:24:10 0 5K
URAFIKI KIBIBLIA
ATHARI ZA NGONO NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO NA KUSHINDA
Kama kuna jambo ambalo wengi wetu hatulijui au tu hatujalitilia maanani ni athari zitokanazo na...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:48:01 0 9K