HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD HAJUI KAMA ATAINGIA PEPONI AU MOTONI

0
5K
 
1. Allah ashindwa kumwakikishia Muhamamd wapi ataingia baada ya kifo.
2. Muhammad akiri kuwa yeye hataingia peponi.
3. Muhammad akiri kuwa Waislam wote wataingia Jehannam.
Ndugu wasomaji,
Leo hii naanza moja kwa moja na ushahid wa Quran kuwa, Muhamamd hajui atafanywa nini baada ya kiifo. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam wanao fuata unabii wa Muhammad asiye juwa wapi anaenda.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitamua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata
Yohana 10;27-28
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Eti tuufuate Uislamu chini ya kiongozi Muhammad ambaye hajui hatima yake kama ataenda peponi, au ataenda motoni, bila shaka kwa Mkristo anayejitambua hawezi kuwa Muislamu.
Hakika Muhammad alikuwa Mtume Bandia na Allah ni Mpinga Mungu.
Karibuni kwa Yesu aliye hai,
Max Shimba Ministries Org.
Căutare
Categorii
Citeste mai mult
MASWALI & MAJIBU
Mitume Wote Waliopita Walikuwa Ni Watu Weupe Hata Manabii Wote Waliopita Hadi Ma-Papa Ni Ngozi Nyeupe. Ni Kweli Ngozi Nyeusi Ililaaniwa ?
JIBU: Hakuna ngozi yoyote iliyolaaniwa, watu wote kwa Mungu ni sawa, Mungu hana upendeleo...
By GOSPEL PREACHER 2022-06-13 08:37:18 0 5K
OTHERS
THERE IS A GOD How the World’s Most Notorious Atheist Changed His Mind
In the parable of the lost sheep, in the Gospel of Luke, Jesus says there shall be more joy in...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 10:00:09 0 6K
JOB
Verse by verse explanation of Job 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 29 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-04-02 13:31:42 0 5K
OTHERS
CHAKULA CHA WATOTO
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe Tovuti      ...
By GOSPEL PREACHER 2022-01-12 00:58:43 0 7K
BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
10 Financial Principles That Are Biblical
Some people mash cans, crunch bottles or shred newspapers and magazines to further the cause of...
By BIBLICAL FINANCES 2021-12-29 15:13:24 0 11K