HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD HAJUI KAMA ATAINGIA PEPONI AU MOTONI

0
5KB
 
1. Allah ashindwa kumwakikishia Muhamamd wapi ataingia baada ya kifo.
2. Muhammad akiri kuwa yeye hataingia peponi.
3. Muhammad akiri kuwa Waislam wote wataingia Jehannam.
Ndugu wasomaji,
Leo hii naanza moja kwa moja na ushahid wa Quran kuwa, Muhamamd hajui atafanywa nini baada ya kiifo. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam wanao fuata unabii wa Muhammad asiye juwa wapi anaenda.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitamua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata
Yohana 10;27-28
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Eti tuufuate Uislamu chini ya kiongozi Muhammad ambaye hajui hatima yake kama ataenda peponi, au ataenda motoni, bila shaka kwa Mkristo anayejitambua hawezi kuwa Muislamu.
Hakika Muhammad alikuwa Mtume Bandia na Allah ni Mpinga Mungu.
Karibuni kwa Yesu aliye hai,
Max Shimba Ministries Org.
Rechercher
Catégories
Lire la suite
SPIRITUAL EDUCATION
TENGENEZA MAMBO YA NYUMB YAKO
TENGENEZA MAMBO YA NYUMBA YAKO
Par Martin Laizer 2023-12-19 18:47:21 0 6KB
MAHUSIANO KIBIBLIA
JINSI YA KUISHINDA DHAMBI YA TAMAA ZA MWILI
WAGALATIA 5:16-17:-"Basi nasema, ENENDENI KWA ROHO, WALA HAMTAZITIMIZA KAMWE TAMAA ZA MWILI. Kwa...
Par GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:10:57 0 7KB
SPIRITUAL EDUCATION
USIKUBALI USHAWISHI WA DAKIKA 1 WA SHETANI
BWANA ASIFIWE, unaweza kupakua (download) somo hili kwa kubonyeza hapa. Au unaweza ukaendelea...
Par MOCARECI CHURCH 2021-11-06 21:10:13 0 7KB
SPIRITUAL EDUCATION
MIKATABA YA DAMU
Na Mchungaji Kiongozi: Josephat Gwajima.    UTANGULIZI: Katika mfululizo wa masomo haya...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:31:46 0 5KB
OTHERS
ALLAH IS A CREATION AND NOT THE CREATOR
Who is Allah?   the Islamic diabolical deity is called “The Greatest Deceiver”...
Par MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 20:28:12 0 6KB