MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

0
3KB

MASWALI YA KITABU CHA MWANZO KWA WATOTO

  • Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza?
 
 
 
 
 
  • Hapo mwanzo Mungu aliumba nini?
 
 
 
 
 
  • Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani?
 
 
 
  • Adamu aliishi miaka mingapi?
 
 
 
 
  • Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto??
 
 
 
 
  • Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina?
 
 
 
 
 
  • Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake?
 
 
 
 
  • Mungu alipumzika siku ya ngapi?

Add description here!

 
 
 
 
  • Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto?
 
 
 
 
  • Kijakazi wa Sarai alikua nani?
 
 
 
 
  • Kaini alikua anafanya kazi gani?
 
 
 
 
  • Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari?
 
 
 
  • Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima?
 
 
 
  • Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao?
 
 
 
 
  • Yusufu aliuzwa kwa watu gani?
 
 
 
 
Pesquisar
Categorias
Leia mais
2 CHRONICLES
Verse by verse explanation of 2 Chronicles 4
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-01 22:00:21 0 5KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Joshua 10
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 49 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-25 07:40:06 0 5KB
REVELATION
UFUNUO 11
Karibu katika mwendelezo wa kitabu cha Ufunuo, biblia inasema “Heri asomaye na wao...
Por GOSPEL PREACHER 2021-10-30 11:26:46 0 5KB
REVELATION
UCHAMBUZI WA KITABU CHA UFUNUO
Maana ya Ufunuo.   Neno Ufunuo kwa kiingereza ni Reveletion au Disclosure au Apokalupsis kwa...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 11:12:11 0 9KB
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 33
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 32 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-25 07:06:50 0 5KB