MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

0
4K

MASWALI YA KITABU CHA MWANZO KWA WATOTO

  • Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza?
 
 
 
 
 
  • Hapo mwanzo Mungu aliumba nini?
 
 
 
 
 
  • Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani?
 
 
 
  • Adamu aliishi miaka mingapi?
 
 
 
 
  • Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto??
 
 
 
 
  • Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina?
 
 
 
 
 
  • Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake?
 
 
 
 
  • Mungu alipumzika siku ya ngapi?

Add description here!

 
 
 
 
  • Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto?
 
 
 
 
  • Kijakazi wa Sarai alikua nani?
 
 
 
 
  • Kaini alikua anafanya kazi gani?
 
 
 
 
  • Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari?
 
 
 
  • Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima?
 
 
 
  • Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao?
 
 
 
 
  • Yusufu aliuzwa kwa watu gani?
 
 
 
 
Cerca
Categorie
Leggi tutto
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:06:45 0 5K
HOLY BIBLE
CHAPA YA MNYAMA
CHAPA YA MNYAMA Mwinjilisti mmoja alisema kuwa kuipokea chapa ya mnyama/Alama ya Mnyama ni...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-05 23:36:21 0 7K
OTHERS
God of the Bible is "FATHER", In Contrast, Allah of Koran is Not "FATHER"
SCRIPTURES THAT SHOW THAT GOD IS A FATHER Let’s take a look at the groundwork that Judaism...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 08:34:59 0 6K
OTHERS
KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?
1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:41:46 0 5K
MAHUSIANO KIBIBLIA
NIFANYE NINI ILI KUSHINDA TAMAA ZA MWILI?
Septemba mwaka 2011, Mwanafunzi mmoja wa shule ya Sekondari alinitembelea nyumbani kwangu hapa...
By GOSPEL PREACHER 2021-11-23 12:16:15 0 7K