MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

0
4χλμ.

MASWALI YA KITABU CHA MWANZO KWA WATOTO

  • Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza?
 
 
 
 
 
  • Hapo mwanzo Mungu aliumba nini?
 
 
 
 
 
  • Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani?
 
 
 
  • Adamu aliishi miaka mingapi?
 
 
 
 
  • Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto??
 
 
 
 
  • Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina?
 
 
 
 
 
  • Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake?
 
 
 
 
  • Mungu alipumzika siku ya ngapi?

Add description here!

 
 
 
 
  • Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto?
 
 
 
 
  • Kijakazi wa Sarai alikua nani?
 
 
 
 
  • Kaini alikua anafanya kazi gani?
 
 
 
 
  • Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari?
 
 
 
  • Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima?
 
 
 
  • Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao?
 
 
 
 
  • Yusufu aliuzwa kwa watu gani?
 
 
 
 
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
1 KINGS
Verse by verse explanation of 1 Kings 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 35 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-02-05 13:58:42 0 7χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
Jinsi Ya Kumpokea Roho Mtakatifu
“Je Unajua kuwa watumishi wengi sasa wanaogopa kufanya maombezi ya kuombea watu ujazo wa...
από GOSPEL PREACHER 2022-04-01 15:48:30 0 8χλμ.
Injili Ya Yesu Kristo
Mimi ni ngao yako na thawabu yako kubwa sana !
Utangulizi: Mojawapo ya sehemu muhimu sana katika maandiko ambapo unaweza kupata faraja ya kiungu...
από GOSPEL PREACHER 2022-03-31 14:47:46 0 6χλμ.
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-23 05:28:59 0 7χλμ.
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 20
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
από THE HOLY BIBLE 2022-01-25 11:17:40 0 6χλμ.