TAMBUA NAFASI YAKO ULIOITIWA
Δημοσιευμένα 2023-09-28 05:37:50
0
5χλμ.
Nafasi mbili za mkristo katika wokovu
- FANYA_KAZI_YA_MHUBIRI_WA_KRISTO_YESU_Aina_2_za_NAFASI_ZA_MKRISTO_➡Mtu_yeyote_punde_anapookoka
- lazima_atambue_kuwa_nafasi_mbili_zimo_ndani_yake:-_*1)_NAFASI_AMBAYO_MUNGU_AMEMWITIA/AMEMWEKA_MTU(_WITO)*_➡Angalia_👇👇👇_*Yohana_15:16_imeandikwa_”_Si_ninyi_mlionichagua_Mimi
- Bali_ni_Mimi_niliyewachagua_ninyi;__NIKAWAWEKA__mwende_mkazae_matunda;_na_matunda_yenu_yapate_kukaa…”*_*Yeremia_1:10_imeandikwa_“Angalia
- _NIMEKUWEKA__leo_juu_ya_Mataifa_na_juu_ya_Falme_ili_Kung’oa_na_kubomoa_na_kuharibu
- na_kuangamiza;ili_kujenga_na_kupanda.*_*Mwanzo_2:15_imeandikwa”_BWANA_Mungu_akamtwaa_huyo_mtu
- _AKAMWEKA__katika_bustani_ya_Edeni
- ailime_na_aitunze.*_➡Kulingana_na_misitari_hiyo👆👆👆_tunajifunza_mambo_yafuatayo:-_*a)_Hauwezi_kuzaa_matunda
- kama_nafasi_uliyokaa_si_sahihi!!*_*b)_Hata_kama_ukizaa_matunda_kwenye_nafasi_ambayo_sio_yako_matunda_hayo_hayawezi_kukaa(kudumu)!!!*_*c)Mungu_huwa_anasema_na_nafasi;*_–_Mara_nyingi_tumeshindwa_kumsikia_Mungu_kwa_sababu_tumehama_kwenye_nafasi_zetu_*c)Mungu_huwa_anaitembelea_nafasi*_~Mungu_anapotaka_kumtembelea_mtu_huwa_anamfuata_kwenye_ile_nafasi_aliyomweka!!!!!!_Kwa_mfano_tunaona_Mungu_alipomkosa_Adam_kwenye_nafasi_aliyimweka
- angalia_swali_ambalo_Mungu_alimuuliza_Adam;_*Adam_uko_wapi?*_-Maana_MUNGU_alitegemea_kwamba_akienda_kwenye_nafasi_angemkuta_Adam!_Lakini_cha_kushangaza_Adam_akawa_amehamia_kwenye_nafasi_nyingine_tu!!_~Wakristo_wengi_wamekuwa_wakikaa_kwenye_nafasi_ambazo_sio_za_kwao_na_ndio_maana_hata_kuzaa_kwao_kumekuwa_ni_kwa_shida_sana!!!!_*c)Mungu_huwa_anaachilia_jibu_kwenye_nafasi*_*d)_Mungu_huwa_anamhesabu_mtu_kuwa_kafanya_kazi_pale_anapofanya_kazi_akiwa_kwenye_nafasi_yake
- hivyo_Hata_taji_ya_mtu_itategemea_mtu_huyo_aliwajibika_vipi_kwenye_nafasi_yake*_➡saa_naomba_ungalia_huu_mfano_ili_uweze_kuelewa_vizuri_kipengele_c_na_d_👇👇_Kwa_mfano;_*Werema*_ameajiriwa_na_Magufuli_na_kuwa_mwalimu_mkuu_wa_Shule_ya_Sekondari_inayoitwa_*Kilimani_Secondary_school.*_Pia_Werema_anajihusisha_na_Kazi_ya_ukulima!!!_Swali!!!!_1)Je_siku_vifaa_vya_Shule_vikiisha
- Najua_werema_ni_lazima_atamtaarifu_Mwajiri_wake_ili_amletee_vingine!_Sasa_je
- siku_Magufuli_akiagiza_hivyo_vifaa
- atavileta_shuleni_unapofanyia_kazi_ama_atavipeleka_shambani_unakolimia?_~Najua_hapo_jibu_ni_kwamba;_atavipeleka_shuleni!!!!_2)Je_werema_siku_akiishiwa_mbolea_ya_kupandia_kwenye_shamba_lake;_Je_atampa_Mwajiri_wake_taarifa_ili_amletee_mbolea?_~Najua_jibu_ni_hapana_kwasababu_mwajiri_wake_hakumwajiri_ili_alime
- Bali_alimwajiri_ali_Afundishe!!!!_~Kadharika_na_Mungu_ndivyo_alivyo!!!!_Huwa_anaachilia_majibu_kwenye_nafasi_aliyomweka_mtumishi_wake_na_sio_vinginevyo!!_*KUMBUKA*_~Wepesi_wa_kuifanya_kazi_fulani
- unategemea_na_eneo_sahihi_ulilowekwa!!!!!_Kwa_mfano!!!ukitaka_kushika_kitu_kwa_mikono_utafanikiwa_haraka_sana_kwa_sababu_mikono_ipo_katika_nafasi_sahihi!!!_Tofauti_na_ukishika_kitu_kwa_kutumia_miguu!_➡watumishi_wengi_kazi_ya_Mungu_imekuwa_ngumu_kwao_kwa_sababu_wanatumika_eneo_ambalo_sio_sahihi!!!_Omba_usiku_na_mchana_ili_Mungu_akuonyeshe_eneo_alilokuweka!!!!_Huwezi_kujijua_wewe_ni_nani_ukiwa_nje_ya_Yesu_Kristo.Hivyo_kama_haupo_kwa_Yesu_Kristo_basi_tafuta_kuwa_ndani_yake_ndipo_utakapofanikiwa_kujijua_lakini_si_kujijua_bali_uwe_na_uzima_wa_milele_na_uhakika_wa_ulizi_hapa_duniani._GIDION_LAIZER_NURU_YA_UPENDO_ARUSHA

Αναζήτηση
Κατηγορίες
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Διαβάζω περισσότερα
How to turn your marketplace into a community
As we have learned in the earlier chapters of the Practical guide for building a...
JE NGUVU ZA GIZA ZIPO?
Wapo watu wachache ambao huwa hawaamini habari za utendaji wa nguvu za giza,. na wengine...
BINTI YA KUHANI YE YOTE ATAKAPOJITIA UNAJISI KWA UKAHABA
BINTI YA KUHANI YE YOTE ATAKAPOJITIA UNAJISI KWA UKAHABA
USIKUBALI KUWA MPUMBAVU KWA KUKATAA KUWA HAKUNA MUNGU
Kuna imani nyingi sana hapa duniani, zingine zinadai kuwa "Hakuna Mungu" eti, kwasababu...
KIPI KINAHITAJI MAANDALIZI SANA KATI YA NDOA NA HARUSI?
Shalom mpendwa wangu katika Kristo Yesu, Leo katika kona yetu hii ya mahusiano ya uchumba na...