TAMBUA NAFASI YAKO ULIOITIWA
Сообщение 2023-09-28 05:37:50
0
6Кб
Nafasi mbili za mkristo katika wokovu
- FANYA_KAZI_YA_MHUBIRI_WA_KRISTO_YESU_Aina_2_za_NAFASI_ZA_MKRISTO_➡Mtu_yeyote_punde_anapookoka
- lazima_atambue_kuwa_nafasi_mbili_zimo_ndani_yake:-_*1)_NAFASI_AMBAYO_MUNGU_AMEMWITIA/AMEMWEKA_MTU(_WITO)*_➡Angalia_👇👇👇_*Yohana_15:16_imeandikwa_”_Si_ninyi_mlionichagua_Mimi
- Bali_ni_Mimi_niliyewachagua_ninyi;__NIKAWAWEKA__mwende_mkazae_matunda;_na_matunda_yenu_yapate_kukaa…”*_*Yeremia_1:10_imeandikwa_“Angalia
- _NIMEKUWEKA__leo_juu_ya_Mataifa_na_juu_ya_Falme_ili_Kung’oa_na_kubomoa_na_kuharibu
- na_kuangamiza;ili_kujenga_na_kupanda.*_*Mwanzo_2:15_imeandikwa”_BWANA_Mungu_akamtwaa_huyo_mtu
- _AKAMWEKA__katika_bustani_ya_Edeni
- ailime_na_aitunze.*_➡Kulingana_na_misitari_hiyo👆👆👆_tunajifunza_mambo_yafuatayo:-_*a)_Hauwezi_kuzaa_matunda
- kama_nafasi_uliyokaa_si_sahihi!!*_*b)_Hata_kama_ukizaa_matunda_kwenye_nafasi_ambayo_sio_yako_matunda_hayo_hayawezi_kukaa(kudumu)!!!*_*c)Mungu_huwa_anasema_na_nafasi;*_–_Mara_nyingi_tumeshindwa_kumsikia_Mungu_kwa_sababu_tumehama_kwenye_nafasi_zetu_*c)Mungu_huwa_anaitembelea_nafasi*_~Mungu_anapotaka_kumtembelea_mtu_huwa_anamfuata_kwenye_ile_nafasi_aliyomweka!!!!!!_Kwa_mfano_tunaona_Mungu_alipomkosa_Adam_kwenye_nafasi_aliyimweka
- angalia_swali_ambalo_Mungu_alimuuliza_Adam;_*Adam_uko_wapi?*_-Maana_MUNGU_alitegemea_kwamba_akienda_kwenye_nafasi_angemkuta_Adam!_Lakini_cha_kushangaza_Adam_akawa_amehamia_kwenye_nafasi_nyingine_tu!!_~Wakristo_wengi_wamekuwa_wakikaa_kwenye_nafasi_ambazo_sio_za_kwao_na_ndio_maana_hata_kuzaa_kwao_kumekuwa_ni_kwa_shida_sana!!!!_*c)Mungu_huwa_anaachilia_jibu_kwenye_nafasi*_*d)_Mungu_huwa_anamhesabu_mtu_kuwa_kafanya_kazi_pale_anapofanya_kazi_akiwa_kwenye_nafasi_yake
- hivyo_Hata_taji_ya_mtu_itategemea_mtu_huyo_aliwajibika_vipi_kwenye_nafasi_yake*_➡saa_naomba_ungalia_huu_mfano_ili_uweze_kuelewa_vizuri_kipengele_c_na_d_👇👇_Kwa_mfano;_*Werema*_ameajiriwa_na_Magufuli_na_kuwa_mwalimu_mkuu_wa_Shule_ya_Sekondari_inayoitwa_*Kilimani_Secondary_school.*_Pia_Werema_anajihusisha_na_Kazi_ya_ukulima!!!_Swali!!!!_1)Je_siku_vifaa_vya_Shule_vikiisha
- Najua_werema_ni_lazima_atamtaarifu_Mwajiri_wake_ili_amletee_vingine!_Sasa_je
- siku_Magufuli_akiagiza_hivyo_vifaa
- atavileta_shuleni_unapofanyia_kazi_ama_atavipeleka_shambani_unakolimia?_~Najua_hapo_jibu_ni_kwamba;_atavipeleka_shuleni!!!!_2)Je_werema_siku_akiishiwa_mbolea_ya_kupandia_kwenye_shamba_lake;_Je_atampa_Mwajiri_wake_taarifa_ili_amletee_mbolea?_~Najua_jibu_ni_hapana_kwasababu_mwajiri_wake_hakumwajiri_ili_alime
- Bali_alimwajiri_ali_Afundishe!!!!_~Kadharika_na_Mungu_ndivyo_alivyo!!!!_Huwa_anaachilia_majibu_kwenye_nafasi_aliyomweka_mtumishi_wake_na_sio_vinginevyo!!_*KUMBUKA*_~Wepesi_wa_kuifanya_kazi_fulani
- unategemea_na_eneo_sahihi_ulilowekwa!!!!!_Kwa_mfano!!!ukitaka_kushika_kitu_kwa_mikono_utafanikiwa_haraka_sana_kwa_sababu_mikono_ipo_katika_nafasi_sahihi!!!_Tofauti_na_ukishika_kitu_kwa_kutumia_miguu!_➡watumishi_wengi_kazi_ya_Mungu_imekuwa_ngumu_kwao_kwa_sababu_wanatumika_eneo_ambalo_sio_sahihi!!!_Omba_usiku_na_mchana_ili_Mungu_akuonyeshe_eneo_alilokuweka!!!!_Huwezi_kujijua_wewe_ni_nani_ukiwa_nje_ya_Yesu_Kristo.Hivyo_kama_haupo_kwa_Yesu_Kristo_basi_tafuta_kuwa_ndani_yake_ndipo_utakapofanikiwa_kujijua_lakini_si_kujijua_bali_uwe_na_uzima_wa_milele_na_uhakika_wa_ulizi_hapa_duniani._GIDION_LAIZER_NURU_YA_UPENDO_ARUSHA
Поиск
Категории
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Больше
UFAHAMU KUHUSU DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU
VIPENGELE VYA SOMO(1). NI MAANA YA KUKUFURU?(2). DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU IKOJEE?(3)....
USIPOKUWA NA WAZO JIPYA HUWEZI KUTOKA MAHALI ULIPO
Salaam katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Katika waraka wa Oktoba 2016 nimeona umuhimu wa...
AMANI YA KRISTO IAMUE MIOYONI MWENU
Neno la Uzima kutoka kwa Askofu Zachary Kakobe ...
KWA NINI WATU WENGI WANAUMIA BAADA YA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO?
Kumekuwa na takwimu nyingi za wachumba na wanandoa kuumia mara tu au muda mfupi baadaye baada ya...
ATHARI ZA NGONO NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO NA KUSHINDA
Kama kuna jambo ambalo wengi wetu hatulijui au tu hatujalitilia maanani ni athari zitokanazo na...